I have a dream
Member
- Apr 2, 2012
- 73
- 59
Wana jf natumaini hamjambo,
Nimejiuliza sana lakini sikupata jibu ya kuwa ni vigezo gani vilitumika kugawa form na kupata majina ya watakaopata viwanja.
Manispaa ilitambua kuwa ina viwanja 1800 na kwa mujibu wa vyombo vya habari form zilitolewa 20,000. Kwa nini zitolewe form 20,000 wakati viwanja ni 1800 tu? Wako kwa ajili yakutoa huduma ( service provider) au kufanya biashara?( business oriented)
Then swali jingine sawa ushapata application 20,000, utachaguaje watu wa kuwapa?
To be honest mimi niliamka saa kumi usiku kwenda kutafuta form siku ya pili maana siku ya kwanza sikufanikiwa kupata kiwanja.
Matokeo sikupata kiwanja, nilipoteza muda wangu siku mbili na hela 30,000.
Nimejiuliza sana lakini sikupata jibu ya kuwa ni vigezo gani vilitumika kugawa form na kupata majina ya watakaopata viwanja.
Manispaa ilitambua kuwa ina viwanja 1800 na kwa mujibu wa vyombo vya habari form zilitolewa 20,000. Kwa nini zitolewe form 20,000 wakati viwanja ni 1800 tu? Wako kwa ajili yakutoa huduma ( service provider) au kufanya biashara?( business oriented)
Then swali jingine sawa ushapata application 20,000, utachaguaje watu wa kuwapa?
To be honest mimi niliamka saa kumi usiku kwenda kutafuta form siku ya pili maana siku ya kwanza sikufanikiwa kupata kiwanja.
Matokeo sikupata kiwanja, nilipoteza muda wangu siku mbili na hela 30,000.