Ni Vigezo gani Mtumishi was Umma anaweza kuhama au kuhamishwa kabla hajakamilisha miaka mitatu kituo kimoja!?

MAKULUGA

JF-Expert Member
Jan 21, 2011
7,096
9,216
Nafahamu kuwa ili Mtumisshi awez2 kihama kituo chake Cha kazi no sharti awe amekaa.k2a.mida usiopunguaa miaka 3,vinginevyo mwajiri ndiye amhamishe!
Je Standing Order inasemaje iwapo Mtumishi ana matatizo ya kifamilia ambayo no Genuine mfano ...kuumwa,kuuguliwa nk !
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom