Ni vigezo gani mkwere katumia kuainisha haya! Kuna ukweli hapa?

The Hunter

JF-Expert Member
Dec 25, 2010
1,049
305
[FONT=Palatino Linotype, serif]Hali ya Uchumi

[/FONT]​
[FONT=Palatino Linotype, serif]Ndugu Wananchi;[/FONT]
[FONT=Palatino Linotype, serif]Tunaumaliza mwaka 2010 hali ya uchumi wa nchi ikiwa ni ya kuridhisha. Inaelekea athari za miaka mitatu iliyopita zilizosababishwa na misukosuko mbalimbali ya uchumi wa dunia sasa zinanza kutoweka. Tunatarajia kuwa mwaka huu uchumi utakua kwa [/FONT][FONT=Palatino Linotype, serif]asilimia 7[/FONT][FONT=Palatino Linotype, serif] ukilinganisha na [/FONT][FONT=Palatino Linotype, serif]asilimia 6 [/FONT][FONT=Palatino Linotype, serif]ya mwaka 2009. Matumaini yetu ni kuwa mwaka 2011 uchumi utakua kwa [/FONT][FONT=Palatino Linotype, serif]asilimia 7.2 [/FONT][FONT=Palatino Linotype, serif]kama mambo yatakwenda kama tunavyotarajia. [/FONT]

[FONT=Palatino Linotype, serif]Mfumuko wa bei [/FONT][FONT=Palatino Linotype, serif]nao umeshuka sana kutoka wastani wa[/FONT][FONT=Palatino Linotype, serif]asilimia 12.1[/FONT][FONT=Palatino Linotype, serif] mwaka 2009 hadi [/FONT][FONT=Palatino Linotype, serif]asilimia 5.5[/FONT][FONT=Palatino Linotype, serif] Novemba, 2010. Ni dhamira yetu na matarajio yetu kuwa mfumuko wa bei utaendelea kuwa chini ya hapo. Kwa ajili hiyo hatuna budi kuhakikisha kuwa hali ya ipatikanaji wa chakula nchini inaendelea kuwa nzuri[/FONT]
 
Hata mlalahoiu wa kijijini anaelewa tunakokwenda.Waswahili husema mwenye macho haambiwi tizama.we are dying a peaceful death.Ni kwa nini kila kitu kipande mara tu baada ya uchaguzi ?Please mr.jk hear to our cries walk around dsm and see the real situation .
 
haya mdudu kaandikiwa na yeye anasoma tu kama yalivyo, teh teh kama desa vile unameza tu!
 
unafiki tu ndio unamsumbua mkwere huyo,anajiona anajua sana kuwandanganya watu na takwim zilizo chakachuliwa. Watu wanalalamika maisha magum wewe unasema uchumi umekua? Bullshit!
 
Hawa majamaa wanajifanya kukopy mfumo wa kitakwimu bila kuangalia uhalisia wa takwimu zenyewe, maana tujiulize ni strategies zipi wamezifanya kufanikisha kupunguza hiyo influation kwa asilimia zaidi ya nne! mbona sasa huduma zinashuka? dola inazidi kuiacha shilingi!
 
Back
Top Bottom