Vision Africa
New Member
- Mar 8, 2019
- 1
- 0
Naombeni msaada kwa anayejua ili mtu kuwa na uwezo wa kuhudumia wateja wa bima kwenye kitua chako cha afya
Hili swali umeuliza mwaka 2019 leo 2021 Hakuna aliyekujibu. Dah!Naombeni msaada kwa anayejua ili mtu kuwa na uwezo wa kuhudumia wateja wa bima kwenye kitua chako cha afya
pengine alishapata majibu tayari.Hili swali umeuliza mwaka 2019 leo 2021 Hakuna aliyekujibu. Dah!
Hahahahaa asee we jamaa umenchekesha sanaAngeuliza wanapouzwa malaya wakali angepata majibu hadi angeyakimbia.
Au covido ishafanya maamuzi magumupengine alishapata majibu tayari.
kwani last seen ni lini?Au covido ishafanya maamuzi magumu
Last seen ni 2020kwani last seen ni lini?
🤣 Changamoto ya upumuaji ni kazi kweli kweli.kwani last seen ni lini?