johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,761
Ni vema tukawa kama Wakenya wagombea wa urais wajulikane mapema tupate muda wa kuwapima.
Sasa tunawasubiri ACT wazalendo, NCCR mageuzi na TLP nao watutangazie wagombea wao.
Inaeleweka kwa utamaduni wa CCM ni lazima asimame Rais Samia.
Prof Lipumba wa CUF, Tundu Lissu wa Chadema na Hashimu Rungwe wa Chaumma inaeleweka bayana ni wagombea wa vyama vyao.
Mungu ni mwema wakati wote!
Sasa tunawasubiri ACT wazalendo, NCCR mageuzi na TLP nao watutangazie wagombea wao.
Inaeleweka kwa utamaduni wa CCM ni lazima asimame Rais Samia.
Prof Lipumba wa CUF, Tundu Lissu wa Chadema na Hashimu Rungwe wa Chaumma inaeleweka bayana ni wagombea wa vyama vyao.
Mungu ni mwema wakati wote!