Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Inaweza kuwa huna kitu lakini watu wakakuchukia na binadamu kumchukia binadamu mwenziwe ni kuwa na roho mbaya tena mbaya sana,huwezi kujua lakini jamaa alieondoa topiki ya ..Kesho ni mwisho wa dunia.. natangaza rasmi kuwa ana roho mbaya tena amejivalisha ngozi ya kondoo ,na kwa sababu yeyote ile aliyoiona yeye haswa kuondoa joke ile kwenye chumba cha jokes ni kuonyesha dhahiri ubaya wa roho yake ,hivi amewahi kusikia April Fool ,too much know without knowing ndivyo alivyo alieondoa mada.
Hivyo ndugu nimekuweka katika kundi la watu wenye roho mbaya ,samahani lakini ndio hivyo ,ufahamu tu kuwa kwa upande wangu nakuona huna maana hata moja zaidi ya kupata kibarua cha kubabaisha na kujifanya unajua kila kitu ,na iwe hivyo lakini roho yako mbaya sana ,inawezekana wewe mwenyewe hujijui kama una roho mbaya na kujiona ni mchangamfu mjuaji na muekaji ukumbi huu sawa ,kwa mawazo yako yanapokupeleka unaona upo juu ya sheria na huwezi kuguswa na kitu chochote kile unavyojiona kuwa hata Mungu hawezi kukuingilia katika mambo yako ,ni uzubaifu wa kukosa la kufanya. Na ndio maana watu weusi hatufanikiwi wala hatuendelei kwa sababu hizo zilizokufanya kuona ile sio jokes hakuna tofauti na choyo cha mafisadi wanaohujumu uchumi wa nchi hii kwani wao roho zao hazina tofauti na yako ,na jichunguze utaliona hilo,analoandika John na Jacob na dada yao Marry hayo kwako ndio ya maana na unayoyashangilia na yanayofaa kuwepo hapa.
Nafurahi kuwa hapa silipii kama ingekuwa nalipia basi timgetafutana ukanirudishia ela yangu.
Hivyo ndugu nimekuweka katika kundi la watu wenye roho mbaya ,samahani lakini ndio hivyo ,ufahamu tu kuwa kwa upande wangu nakuona huna maana hata moja zaidi ya kupata kibarua cha kubabaisha na kujifanya unajua kila kitu ,na iwe hivyo lakini roho yako mbaya sana ,inawezekana wewe mwenyewe hujijui kama una roho mbaya na kujiona ni mchangamfu mjuaji na muekaji ukumbi huu sawa ,kwa mawazo yako yanapokupeleka unaona upo juu ya sheria na huwezi kuguswa na kitu chochote kile unavyojiona kuwa hata Mungu hawezi kukuingilia katika mambo yako ,ni uzubaifu wa kukosa la kufanya. Na ndio maana watu weusi hatufanikiwi wala hatuendelei kwa sababu hizo zilizokufanya kuona ile sio jokes hakuna tofauti na choyo cha mafisadi wanaohujumu uchumi wa nchi hii kwani wao roho zao hazina tofauti na yako ,na jichunguze utaliona hilo,analoandika John na Jacob na dada yao Marry hayo kwako ndio ya maana na unayoyashangilia na yanayofaa kuwepo hapa.
Nafurahi kuwa hapa silipii kama ingekuwa nalipia basi timgetafutana ukanirudishia ela yangu.