Serikali imeongeza kodi kwenye bidhaa ya mafuta ya taaa,kwakuwa ndio yanayotumika kuchakachulia mafuta......
Hayo yalisemwa jana bungeni........mheshimiwa CHENGE aliunga mkono hoja hiyo......
Serikali imesema imefanya hivyo ili kuongeza mapato na kufuta utaratibu wa kuchakchua......mafuta
My take:je tumekosa njia nyingine ya kudhibiti uchakchuaji wa mafuta hadi yapandishiwe kodi????kwani mafuta ya taa nadhan ndiyo yanatumiwa na sehemu kubwa ya watanzania.....hawa watendaj wa wizara ya fedha wana nia ya dhat ya kumuondolea mzigo mtanzania????nachojua watu wa vijijin wanategemea mafuta ya taa.....mbona hivi jamani????yaani njia sahihi ya kuondoa uchakachuaji ni hiyo tuuu
Hayo yalisemwa jana bungeni........mheshimiwa CHENGE aliunga mkono hoja hiyo......
Serikali imesema imefanya hivyo ili kuongeza mapato na kufuta utaratibu wa kuchakchua......mafuta
My take:je tumekosa njia nyingine ya kudhibiti uchakchuaji wa mafuta hadi yapandishiwe kodi????kwani mafuta ya taa nadhan ndiyo yanatumiwa na sehemu kubwa ya watanzania.....hawa watendaj wa wizara ya fedha wana nia ya dhat ya kumuondolea mzigo mtanzania????nachojua watu wa vijijin wanategemea mafuta ya taa.....mbona hivi jamani????yaani njia sahihi ya kuondoa uchakachuaji ni hiyo tuuu