Mimi nipo huku mkoani kwa sasa, nahitaji kuvuta umeme kwenye nyumba ya mzee huko Mwanza (Ilemela) lakini nimepata mkanganyiko kidogo.
Kwa taarifa alizonipa ni kuwa, kuvuta umeme ni laki tatu na 20 (320,000)
Eneo tulilopo kuna nguzo tayari na hata mita 20 hazifiki. Maana yake ni kuwa wao (TANESCO) itahitajika waweke mita pekee, nishafanya wiring na kila kitu kinachohitajika.
Hii bei (320000) kwakweli imenivunja moyo kabisa wa kukamilisha hili lengo.
Naombeni Mwenye msaada kuhusu hili na maoni basi anisaidie kuniongezea uelewa, naona ghalama ni kubwa sana.
Nawasilisha
Kwa taarifa alizonipa ni kuwa, kuvuta umeme ni laki tatu na 20 (320,000)
Eneo tulilopo kuna nguzo tayari na hata mita 20 hazifiki. Maana yake ni kuwa wao (TANESCO) itahitajika waweke mita pekee, nishafanya wiring na kila kitu kinachohitajika.
Hii bei (320000) kwakweli imenivunja moyo kabisa wa kukamilisha hili lengo.
Naombeni Mwenye msaada kuhusu hili na maoni basi anisaidie kuniongezea uelewa, naona ghalama ni kubwa sana.
Nawasilisha