GOYA MNANDA
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 239
- 160
Nimeona tangazo la kaz unicef tanzania nimeomba nimerudishiwa form ambayo inatakiwa kujaza pamoja na kutuma ela
Mwenye uelewa zaid tujuzane jaman
Mwenye uelewa zaid tujuzane jaman
Wizi huo!Nimeona tangazo la kaz unicef tanzania nimeomba nimerudishiwa form ambayo inatakiwa kujaza pamoja na kutuma ela
Mwenye uelewa zaid tujuzane jamanView attachment 1201025
Yaani vitu viko wazi kabisa ila lazima awapate.... Wajinga hawawezi kuisha dunianangalia hiyo E mail halafu shtuka kidogo, akaunti ya muhasibu ni no. yake ya simu shtuka tena, then waambie elfu kumi na mbili inaandikwa hivi: 12,000 na sio 1,2000
Yaani vitu viko wazi kabisa ila lazima awapate.... Wajinga hawawezi kuisha dunian
Na mwisho UNICEF sio Shirika Lisilo la Kiserikali, haipo chini ya mwamvuli wa NGOsangalia hiyo E mail halafu shtuka kidogo, akaunti ya muhasibu ni no. yake ya simu shtuka tena, then waambie elfu kumi na mbili inaandikwa hivi: 12,000 na sio 1,2000
Jiongeze Mkuu:Nimeona tangazo la kaz unicef tanzania nimeomba nimerudishiwa form ambayo inatakiwa kujaza pamoja na kutuma ela
Mwenye uelewa zaid tujuzane jamanView attachment 1201025
Utume hela za nini sasa wakati unatafuta kaziNimeona tangazo la kaz unicef tanzania nimeomba nimerudishiwa form ambayo inatakiwa kujaza pamoja na kutuma ela
Mwenye uelewa zaid tujuzane jamanView attachment 1201025
Hela ya kula siku ya interviewUtume hela za nini sasa wakati unatafuta kazi
Hela ya kula siku ya interview