Ni upotoshwaji kuita kuwa Demokrasia si sawa na kinywaji cha "coca-cola" bali demokrasia ina tafsiri moja tu Dunia nzima

Mystery

JF-Expert Member
Mar 8, 2012
15,480
30,152
Kumekuwa na upotoshwaji mkubwa kutoka kwa wale wanazoziendesha nchi zao kiimla na kujitetea kuwa demokrasia siyo sawa sawa na kinywaji cha coca-cola ambapo radha yake itakuwa moja Dunia nzima.

Tafsiri sahihi ni kuwa demokrasia ni moja Dunia nzima na ni serikali ya wananchi, iliyochaguliwa na wananchi hao Katika uchaguzi uliokuwa huru na wa Haki, ambapo viongozi waliochaguliwa wanabeba dhamana kuwatumikia wananchi hao kwa usawa.

Hii kauli ya kujitetea kuwa demokrassia siyo sawaswa na coca-cola, inatolewa na viongozi wa kiimla, ambapo ilianza kutolewa na Mwendazake na sasa inaendelezwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Hivi wewe uliwahi kuona wapi, nchi inayoongozwa kidemokrasia na ni ya mfumo wa vyama vingi, chama tawala ndiyo pekee kiwe na uhuru wa kufanya vikao vyake itakavyo na vyama vingine vya upinzani, vizuiliwe na Jeshi la Polisi kwa kutolewa sababu ambazo hazina ukweli wowote??

Dawa ni moja tu kwa nchi yetu, kupata Katiba mpya ya nchi, ambayo italeta usawa wa namna ya kuendesha shughuli za kisiasa nchini. Full Stop,
 
Kauli aliyowahi kuitoa ya hata kama wasipoichagua CCM wao ndio watatangazwa washindi inaonesha anamaanisha kwa kusema demokrasia sio sawa na Cocacola, kwamba CCM wanademokrasia yao.

Hata wanavyomteua mgombea wao wa Urais kwa kutoa form moja nayo inaonesha hao jamaa wanademokrasia yao tofauti na duniani.

Haya mazoea waliyojijengea ndio yanawafanya waje na kauli za ajabu zinazotokana na ulevi wa madaraka waliopo nao, bila nguvu ya wananchi kuwaamsha usingizini, wataendelea kutuchezea kama vile wana hati miliki ya hii nchi.
 
Naona Bi Mkubwa anawanyima raha sana😆,tuliwaambia hii ngoma ni chuma zaidi ya jiwe hamkutuelewa wacha kazi iendelee!!
Hatunyimi raha......

Ila tunachosisitiza ni kuona Haki inatendeka.

Mithali 14:34 "Haki huinua Taifa na dhambi ni aibu ya watu wote"
 
embu taja nchi tano unazodhani zina Demokrasia unayosema ... ili uonyeshwe kwamba sio COCACOLA
 
Kumekuwa na upotoshwaji mkubwa kutoka kwa wale wanazoziendesha nchi zao kiimla na kujitetea kuwa demokrasia siyo sawa sawa na kinywaji cha coca-cola ambapo radha yake itakuwa moja Dunia nzima.

Tafsiri sahihi ni kuwa demokrasia ni moja Dunia nzima na ni serikali ya wananchi, iliyochaguliwa na wananchi hao Katika uchaguzi uliokuwa huru na wa Haki, ambapo viongozi waliochaguliwa wanabeba dhamana kuwatumikia wananchi hao kwa usawa.

Hii kauli ya kujitetea kuwa demokrassia siyo sawaswa na coca-cola, inatolewa na viongozi wa kiimla, ambapo ilianza kutolewa na Mwendazake na sasa inaendelezwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Hivi wewe uliwahi kuona wapi, nchi inayoongozwa kidemokrasia na ni ya mfumo wa vyama vingi, chama tawala ndiyo pekee kiwe na uhuru wa kufanya vikao vyake itakavyo na vyama vingine vya upinzani, vizuiliwe na Jeshi la Polisi kwa kutolewa sababu ambazo hazina ukweli wowote??

Dawa ni moja tu kwa nchi yetu, kupata Katiba mpya ya nchi, ambayo italeta usawa wa namna ya kuendesha shughuli za kisiasa nchini. Full Stop,
Uwe unatoaga na mifano basi.. Mbona demokrasia ya Uingereza na Marekani zinatifautiana sana..!! Au hili hulijui?
 
Kumekuwa na upotoshwaji mkubwa kutoka kwa wale wanazoziendesha nchi zao kiimla na kujitetea kuwa demokrasia siyo sawa sawa na kinywaji cha coca-cola ambapo radha yake itakuwa moja Dunia nzima.

Tafsiri sahihi ni kuwa demokrasia ni moja Dunia nzima na ni serikali ya wananchi, iliyochaguliwa na wananchi hao Katika uchaguzi uliokuwa huru na wa Haki, ambapo viongozi waliochaguliwa wanabeba dhamana kuwatumikia wananchi hao kwa usawa.

Hii kauli ya kujitetea kuwa demokrassia siyo sawaswa na coca-cola, inatolewa na viongozi wa kiimla, ambapo ilianza kutolewa na Mwendazake na sasa inaendelezwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Hivi wewe uliwahi kuona wapi, nchi inayoongozwa kidemokrasia na ni ya mfumo wa vyama vingi, chama tawala ndiyo pekee kiwe na uhuru wa kufanya vikao vyake itakavyo na vyama vingine vya upinzani, vizuiliwe na Jeshi la Polisi kwa kutolewa sababu ambazo hazina ukweli wowote??

Dawa ni moja tu kwa nchi yetu, kupata Katiba mpya ya nchi, ambayo italeta usawa wa namna ya kuendesha shughuli za kisiasa nchini. Full Stop,
She is right
 
Hatunyimi raha......

Ila tunachosisitiza ni kuona Haki inatendeka.

Mithali 14:34 "Haki huinua Taifa na dhambi ni aibu ya watu wote"
Tatizo la upinzani WA nchi hii mnatuchanganya Sana sisi wapenda mabadiliko,Kifupi ni kwamba hamjui hata mnachokitaka ni nini,mama wakati anaanza Kazi mlimpa sifa zote n mkasahau kwamba huyu no kada wa CCM,leo hii mmegeuka mnaanza kulia lia,kesho atakuja mwingine mtaanza kumsifia,baada ya mwezi mnaanza kelele.....kueni na Msimamo thabiti wa kiupinzani sio Kia wa vuguvugu!!
 
Kumekuwa na upotoshwaji mkubwa kutoka kwa wale wanazoziendesha nchi zao kiimla na kujitetea kuwa demokrasia siyo sawa sawa na kinywaji cha coca-cola ambapo radha yake itakuwa moja Dunia nzima.

Tafsiri sahihi ni kuwa demokrasia ni moja Dunia nzima na ni serikali ya wananchi, iliyochaguliwa na wananchi hao Katika uchaguzi uliokuwa huru na wa Haki, ambapo viongozi waliochaguliwa wanabeba dhamana kuwatumikia wananchi hao kwa usawa.

Hii kauli ya kujitetea kuwa demokrassia siyo sawaswa na coca-cola, inatolewa na viongozi wa kiimla, ambapo ilianza kutolewa na Mwendazake na sasa inaendelezwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Hivi wewe uliwahi kuona wapi, nchi inayoongozwa kidemokrasia na ni ya mfumo wa vyama vingi, chama tawala ndiyo pekee kiwe na uhuru wa kufanya vikao vyake itakavyo na vyama vingine vya upinzani, vizuiliwe na Jeshi la Polisi kwa kutolewa sababu ambazo hazina ukweli wowote??

Dawa ni moja tu kwa nchi yetu, kupata Katiba mpya ya nchi, ambayo italeta usawa wa namna ya kuendesha shughuli za kisiasa nchini. Full Stop,
NCHI NGUMU SANA HII TOKA MWENYE NCHI YAKE AFARIKI HAYATI BABA wa TAIFA
 
IMG_20210904_073839.jpg
 
Naona Bi Mkubwa anawanyima raha sana😆,tuliwaambia hii ngoma ni chuma zaidi ya jiwe hamkutuelewa wacha kazi iendelee!!
Hana lolote zaidi ya kulindwa na katiba mbovu, ya Tanzania hatuhitaji inept president kama yeye na mtangulizi wake
 
Kumekuwa na upotoshwaji mkubwa kutoka kwa wale wanazoziendesha nchi zao kiimla na kujitetea kuwa demokrasia siyo sawa sawa na kinywaji cha coca-cola ambapo radha yake itakuwa moja Dunia nzima.

Tafsiri sahihi ni kuwa demokrasia ni moja Dunia nzima na ni serikali ya wananchi, iliyochaguliwa na wananchi hao Katika uchaguzi uliokuwa huru na wa Haki, ambapo viongozi waliochaguliwa wanabeba dhamana kuwatumikia wananchi hao kwa usawa.

Hii kauli ya kujitetea kuwa demokrassia siyo sawaswa na coca-cola, inatolewa na viongozi wa kiimla, ambapo ilianza kutolewa na Mwendazake na sasa inaendelezwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Hivi wewe uliwahi kuona wapi, nchi inayoongozwa kidemokrasia na ni ya mfumo wa vyama vingi, chama tawala ndiyo pekee kiwe na uhuru wa kufanya vikao vyake itakavyo na vyama vingine vya upinzani, vizuiliwe na Jeshi la Polisi kwa kutolewa sababu ambazo hazina ukweli wowote??

Dawa ni moja tu kwa nchi yetu, kupata Katiba mpya ya nchi, ambayo italeta usawa wa namna ya kuendesha shughuli za kisiasa nchini. Full Stop,
Hahahahaha hiyo ni maandishi tu ya kuelezea demokrasia lakini demokrasia ni tofauti na wanavyosema wrote ni mashahidi
 
Back
Top Bottom