ng'wanankamba
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 345
- 118
Wadau, naomba mwenye uelewa juu ya utaratibu mzuri wa kula kula matunda anisaidie. Nilishawahi kuambiwa kuwa si vizuri kula matunda mara baada ya kumaliza kula chakula kwani yanasababisha fermentation. Na je nikitaka kula matunda kama mlo, nile matunda ya aina moja tu kama vile papai, n.k na mlo mwingine niletikiti maji au nile mchanganyiko wa matunda mbalimbali?