Matamko haya mawili yamekuwa maarufu vinywani mwetu na masikioni. Popote yanapotamkwa matamko mawili haya huwa yanahusishwa na jambo fulani au hali fulani kutokea baada ya jambo fulni au hali fulani.
Je matamko haya yana ukweli wowote kama yanavyoeleweka au kuelezewa huku mitaani ?
Je ni nini maana ya mikosi na ni wapi asili ya tamko hili ?
Je ni nini maana ya nuksi na ni wapi asili ya tamko hili ?
Je kuna tofauti gani kati ya mikosi na nuksi ?
Je matamko haya yana ukweli wowote kama yanavyoeleweka au kuelezewa huku mitaani ?
Je ni nini maana ya mikosi na ni wapi asili ya tamko hili ?
Je ni nini maana ya nuksi na ni wapi asili ya tamko hili ?
Je kuna tofauti gani kati ya mikosi na nuksi ?