kipindupindu JF-Expert Member Dec 16, 2010 1,053 170 Oct 2, 2011 #1 huu ni mchoro unaoonekana katika moja ya junctions mkoani arusha,hivi huyu mchoraji alitaka kutoa ujumbe gani?
huu ni mchoro unaoonekana katika moja ya junctions mkoani arusha,hivi huyu mchoraji alitaka kutoa ujumbe gani?
tz1 JF-Expert Member Mar 19, 2011 2,121 534 Oct 2, 2011 #2 Kwamba jamaa ni mtalii,si unajua mtalii hakosi kamera
kipindupindu JF-Expert Member Dec 16, 2010 1,053 170 Oct 8, 2011 Thread starter #3 mods hebu nisaidieni kugeuza hiyo picha ikae sawa
JICHO LA 3 JF-Expert Member Oct 3, 2011 356 62 Oct 8, 2011 #4 mbona imekaa vibaya umenikosesha uondo. ila kama ni naniiiiiiiiiii na naniiiiiiiiiiiiiiiiiii vile akiwa naniiiiiiiii anataliii.
mbona imekaa vibaya umenikosesha uondo. ila kama ni naniiiiiiiiiii na naniiiiiiiiiiiiiiiiiii vile akiwa naniiiiiiiii anataliii.