Ni upi uhusiano kati ya bitrate na ubora wa video?

Stephen Ngalya Chelu

JF-Expert Member
Oct 31, 2017
7,621
16,372
Habarini wakuu...

Siku zote nimekuwa niki'export video kwenye Adobe premier kwa kuchagua moja ya presets ambazo zimewekwa. Ila leo nikawa mdadisi kidogo kujaribu kucheza na baadhi ya settings ndipo nilipokutana na hii kitu inaitwa bitrate.

Kuna kitu nilikiona kikanifanya nichukue uamuzi wa kuuliza ili nipate elimu kuhusu uhusiano wa bitrate na ubora wa video. Jambo pekee nililoliona ni kuwa ukiweka bitrate kubwa na video file linakuwa kubwa (MB/GB kuwa nyingi and vice versa).

Sasa nataka kujua ni upi uhusiano wa bitrate na ubora wa video? Kwa mfano niki-export video yenye resolution ya 4K ikiwa na 3.2Mbps, video hii itaathirikaje katika ubora?
 
Kwa navyoelewa bit rate inaeleza how many bit zinapita kwa sekunde kwenye display. Picha ili iwe ina quality nzuri lazima iwe inadetails nyingi (pixels). Pixels zinapokua nyingi ndio bits zinaongezeka na quality inakua nzuri. ukicompress video yenye bitrate kubwa some details (pixels) zinapotea hivyo bitrate itapungua na quality itakua mbovu. kwahiyo video yenye 4k itakua na bits nyingi na quality nzuri kuliko video yenye 720HD ambayo ina bits chache.
 
Kwa navyoelewa bit rate inaeleza how many bit zinapita kwa sekunde kwenye display. Picha ili iwe ina quality nzuri lazima iwe inadetails nyingi (pixels). Pixels zinapokua nyingi ndio bits zinaongezeka na quality inakua nzuri. ukicompress video yenye bitrate kubwa some details (pixels) zinapotea hivyo bitrate itapungua na quality itakua mbovu. kwahiyo video yenye 4k itakua na bits nyingi na quality nzuri kuliko video yenye 720HD ambayo ina bits chache.
Nimekuelewa mkuu, ila bado kuna kitu nahitaji kueleweshwa kidogo.
Hapa kuna video ambayo nikitaka kui-export katika default preset ya 4k, default bitrate value inakuwa 80Mbps na file linakuwa na 84.04GB na nikishusha bitrate value hadi 1Mbps video hiyo hiyo inapungua ukubwa hadi kuwa 1.3GB huku ikiwa na resolution ile ile ya 4K.
Sasa ni ipi itakuwa tofauti katika ubora kati ya video yenye resolution ya 4K huku ikiwa na 80Mbps na ile yenye resolution ya 4k huku ikiwa na 1Mbps? Nauliza hivi kwa kuwa hapa kwenye preview ya video naona zote zinafanana hakuna tofauti yoyote.
 
Nimekuelewa mkuu, ila bado kuna kitu nahitaji kueleweshwa kidogo.
Hapa kuna video ambayo nikitaka kui-export katika default preset ya 4k, default bitrate value inakuwa 80Mbps na file linakuwa na 84.04GB na nikishusha bitrate value hadi 1Mbps video hiyo hiyo inapungua ukubwa hadi kuwa 1.3GB huku ikiwa na resolution ile ile ya 4K.
Sasa ni ipi itakuwa tofauti katika ubora kati ya video yenye resolution ya 4K huku ikiwa na 80Mbps na ile yenye resolution ya 4k huku ikiwa na 1Mbps? Nauliza hivi kwa kuwa hapa kwenye preview ya video naona zote zinafanana hakuna tofauti yoyote.
Mkuu ukitaka uone tofauti fafuta screen kubwa ndo utagundua tofauti, kwa screen ndogo uwezi one tofauti yoyote.
 
Nimekuelewa mkuu, ila bado kuna kitu nahitaji kueleweshwa kidogo.
Hapa kuna video ambayo nikitaka kui-export katika default preset ya 4k, default bitrate value inakuwa 80Mbps na file linakuwa na 84.04GB na nikishusha bitrate value hadi 1Mbps video hiyo hiyo inapungua ukubwa hadi kuwa 1.3GB huku ikiwa na resolution ile ile ya 4K.
Sasa ni ipi itakuwa tofauti katika ubora kati ya video yenye resolution ya 4K huku ikiwa na 80Mbps na ile yenye resolution ya 4k huku ikiwa na 1Mbps? Nauliza hivi kwa kuwa hapa kwenye preview ya video naona zote zinafanana hakuna tofauti yoyote.

Video ama hata miziki kunakuwa na quality yenyewe ambayo ni uncompressed na ina mb ama GB nyingi na zipo ambazo ni compressed kwa codecs mbalimbali kupunguza mb.

Hivyo jinsi video inavyokuwa compressed ndio jinsi bitrate zinavyokuwa ndogo na ndio jinsi quality inavyopungua.

Kujua effect hii stream mpira online, kama camera ina move faster basi utaona video inakuwa blur kiaina fulani hivi sababu most of time bitrate zinakuwa ndogo, ila ukiangalia dstv hii effect huioni sababu bitrate ni kubwa.

Hivyo mkuu kuna sweet spot bitrate ya kati unapunguza quality kiasi kidogo na mb za kutosha
 
Kwa navyoelewa bit rate inaeleza how many bit zinapita kwa sekunde kwenye display. Picha ili iwe ina quality nzuri lazima iwe inadetails nyingi (pixels). Pixels zinapokua nyingi ndio bits zinaongezeka na quality inakua nzuri. ukicompress video yenye bitrate kubwa some details (pixels) zinapotea hivyo bitrate itapungua na quality itakua mbovu. kwahiyo video yenye 4k itakua na bits nyingi na quality nzuri kuliko video yenye 720HD ambayo ina bits chache.
Jawabu sahihi.
 
Back
Top Bottom