Pia huyo mwenye kampuni inaitwa METL amenunua hekta nyingi sana za mashamba ya mkonge Tanga kwa bei chee ili ayaendeleze badala yake ametumia hati za mashamba hayo kuchukulia mabilioni ya mkopo benki za ulaya na kuacha mashamba hayo kama rehani..huu si unyonyaji jamaniJe tuwasifie kwa kuwatibu ndugu zetu kule Apollo?au tuwatimue kwa kujihusisha na ufisadi kama vile RITES,Rada,EPA n.k
Pia huyo mwenye kampuni inaitwa METL amenunua hekta nyingi sana za mashamba ya mkonge Tanga kwa bei chee ili ayaendeleze badala yake ametumia hati za mashamba hayo kuchukulia mabilioni ya mkopo benki za ulaya na kuacha mashamba hayo kama rehani..huu si unyonyaji jamani
wapo kama wanyonyaji humu nchini-wanaiba,wanatafuta na kwenda ku-invest kwao-wengi wao hawataki hata kushirikiana na wenyewe,
naamini asilimia kubwa ya wanaoishi humu nchini hata kama ashaishi tz zaid ya miaka 5,utakuta hajui hata kiswahili