Fpam
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 290
- 115
Habari ya kwenu wanajukwaa
Naamini kila mtu pasipo na shaka anatambua na Azamu alivyotapanya biashara zake hapa nchini na nchi za jirani hasa zile zinazohusiana na vyakula na chamsingi zaidi kwa biashara hizo zinagusa moja kwa moja maisha ya watu na hivyo zinatumika sana.
Hivi karibuni TRA wametoa orodha ya makampuni yanayolipa kodi (10 best) lakini cha kushangaza kampuni ya AZAM haijatokea hicho ni kitu cha kushangaza kiasi kwamba hata baadhi ya hotel zinatoa kodi kuliko AZAM.
Mategemeo yangu ilikuwa nikiona AZAM ikiwa namba za juu kabisa kwa naman ilivyo monopolize biashara hiyo, katika nchi nyingine makampuni makubwa ndiyo yanayosaidia kuendesha uchumi na kuendesha serikali kupitia kodi, mfano SUMSUNG inachangia 20% ya budget ya South Korea kupitia kodi inazotoa. ikumbukwe tu kuwa AZAM inaathiri sana biashara nchini hasa kuzinyima Small and Medium Enterprises kuanzisha biashara na kushindana katika quality na price na AZAM.
Hizi SME's zingeweza kutoa kodi na ajira nyingi sana hasa katika kipindi hiki ambacho vijana wengi wapo mtaani bila kazi. serikali imekuwa ikihimiza vijana kuanzisha vikundi vidogo vidogo na kufungua biashara je hivyo vikundi vitaweza kushindana na hawa AZAM na makampuni makubwa ambayo yanafaidika na kukwepa kodi? tulitegemea haya makampuni yacompliment kupitia kodi sasa ni umuhimu wa AZAM?
Nakaribisha michango yenu
Naamini kila mtu pasipo na shaka anatambua na Azamu alivyotapanya biashara zake hapa nchini na nchi za jirani hasa zile zinazohusiana na vyakula na chamsingi zaidi kwa biashara hizo zinagusa moja kwa moja maisha ya watu na hivyo zinatumika sana.
Hivi karibuni TRA wametoa orodha ya makampuni yanayolipa kodi (10 best) lakini cha kushangaza kampuni ya AZAM haijatokea hicho ni kitu cha kushangaza kiasi kwamba hata baadhi ya hotel zinatoa kodi kuliko AZAM.
Mategemeo yangu ilikuwa nikiona AZAM ikiwa namba za juu kabisa kwa naman ilivyo monopolize biashara hiyo, katika nchi nyingine makampuni makubwa ndiyo yanayosaidia kuendesha uchumi na kuendesha serikali kupitia kodi, mfano SUMSUNG inachangia 20% ya budget ya South Korea kupitia kodi inazotoa. ikumbukwe tu kuwa AZAM inaathiri sana biashara nchini hasa kuzinyima Small and Medium Enterprises kuanzisha biashara na kushindana katika quality na price na AZAM.
Hizi SME's zingeweza kutoa kodi na ajira nyingi sana hasa katika kipindi hiki ambacho vijana wengi wapo mtaani bila kazi. serikali imekuwa ikihimiza vijana kuanzisha vikundi vidogo vidogo na kufungua biashara je hivyo vikundi vitaweza kushindana na hawa AZAM na makampuni makubwa ambayo yanafaidika na kukwepa kodi? tulitegemea haya makampuni yacompliment kupitia kodi sasa ni umuhimu wa AZAM?
Nakaribisha michango yenu