Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Kuna msemo usemao kila jambo lina muda wake,
Hivi ni umri gani kwa mwanaume au mwanamke hautakiwi uwee umeshauvuka tiyari unatakiwa uwe na mtoto kwa maana ukivuka huo umri mtoto wako akizaliwa atakuwa na shida?
Hivi ni umri gani kwa mwanaume au mwanamke hautakiwi uwee umeshauvuka tiyari unatakiwa uwe na mtoto kwa maana ukivuka huo umri mtoto wako akizaliwa atakuwa na shida?