Ni umri gani ukishatimiza katika maisha bila kufanya jambo lolote utaishiwa kuchekwa?

Mboka man

JF-Expert Member
Aug 22, 2020
478
1,638
Dunia inaenda kwa kasi mnoo na umri pia unaenda kwa kasi mnoo hivyo kuna jambo ningependa tushare pamoja

Hivi ni umri gani ukishatimiza bila kufanya jambo lolote la kimaendeleo utaishiwa kuchekwa na walimwengu?
 
Jitahidi usome ukiwa chini ya 30 yrs
Uwe na mji wako kabla ya kuvuka 35yrs
Jitahidi uoe/uolewe ukiwa chini ya 30 yrs
Jitahidi uwekezaji ukiwa chini ya 40 yrs
Jitahidi ufanye yote ya ujana kabla ya kuingia kwa ndoa
etc
Mengi yanasemwa ila
Nionavyo yote ni mipango na Mungu ndiye akuwezeshae katika yote
Unaweza ukafanikiwa katika umri wowote na
unaweza ukawa umefanikiwa ukarudi back to zero katika umri wowote
Usikate tamaa
 
At least at 60 years of Age NB; now nina 25 years of age nina diploma tu but namalizia nyumba yangu thru kazi izi za kuungaunga na nategemea kurudi chuo at 40years na kuoa at 30 years all in all Mungu ndo anajua hatma zetu.
Kazi zipi hizooo
 
Mimi Nina 53Yr nina mke na watoto lakinisina nyumba , naishi nyumba ya kupanga, watoto 3 wote wanasoma private school, sina kazi makhsusi, lakini sitegemei mtu yeyote ila mimi na wifu tunapambana.Sisi ni Waalim ,wife anasomesha primary, mimi nilishaachaga zamani kufundisha ,napiga mission town bila hivyo tungelikuwa tuna lala njaa.
Ila Nina viwanja kadhaa, ng'ambo ya mji na mimi napenda kuishi mjini.
Sasa sijui bado sijafanikiwa? , au ndio nitachekwa au ikoje hii?
 
Mimi Nina 53Yr nina mke na watoto lakinisina nyumba , naishi nyumba ya kupanga, watoto 3 wote wanasoma private school, sina kazi makhsusi, lakini sitegemei mtu yeyote ila mimi na wifu tunapambana.Sisi ni Waalim ,wife anasomesha primary, mimi nilishaachaga zamani kufundisha ,napiga mission town bila hivyo tungelikuwa tuna lala njaa.
Ila Nina viwanja kadhaa, ng'ambo ya mji na mimi napenda kuishi mjini.
Sasa sijui bado sijafanikiwa? , au ndio nitachekwa au ikoje hii?
Naona viwanja vinasubiri pensheni ya mama watoto ili ujenge nyumba. Kupanga ni kuchagua,haupo vibaya...
 
Usiishi maisha ya kuangalia nani anakucheka au nani anakufurahia

Maisha ni yako mwenyewe, ufe maskini au tajiri haihusu

Watu wengi mnaishi maisha ya stress sababu ya jamii, dini au serikali. Ishi maisha yako mwenyewe

Mbaya zaidi kwa ujinga wenu wenyewe mmeamini kufanikiwa ni kuwa na nyumba, gari na hela nyingi, huu ni upumbavu mtupu na hauna uhusiano wowote na mafanikio
Dunia inaenda kwa kasi mnoo na umri pia unaenda kwa kasi mnoo hivyo kuna jambo ningependa tushare pamoja

Hivi ni umri gani ukishatimiza bila kufanya jambo lolote la kimaendeleo utaishiwa kuchekwa na walimwengu?
Ai
 
Usiishi maisha ya kuangalia nani anakucheka au nani anakufurahia

Maisha ni yako mwenyewe, ufe maskini au tajiri haihusu

Watu wengi mnaishi maisha ya stress sababu ya jamii, dini au serikali. Ishi maisha yako mwenyewe

Mbaya zaidi kwa ujinga wenu wenyewe mmeamini kufanikiwa ni kuwa na nyumba, gari na hela nyingi, huu ni upumbavu mtupu na hauna uhusiano wowote na mafanikio

Ai
Mafanikio ni nini?
 
At least at 60 years of Age NB; now nina 25 years of age nina diploma tu but namalizia nyumba yangu thru kazi izi za kuungaunga na nategemea kurudi chuo at 40years na kuoa at 30 years all in all Mungu ndo anajua hatma zetu.
zigzag
 
Kaka yangu alidharaulika akiwa na umri chin ya miaka 40 lakn kwa sasa anaheshimiwa sana imetosha miaka 8 tu Mungu kubadili maisha yake na sasa anapewa heshima ambyo aliikosa kwa miaka mingi

Hivyo mi naamin maisha hayana kuchelewa wala kuwahi unaweza ukaanza vizuri na ukamaliza vibaya , unaweza kuanza vibaya na ukamaliza vizuri.. zote hizo ni rehma za Mwenyezi Mungu.

Ukiweza kula milo mitatu haimaanishi alie lala njaa siku mbili ana dhambi sana
 
Kaka yangu alidharaulika akiwa na umri chin ya miaka 40 lakn kwa sasa anaheshimiwa sana imetosha miaka 8 tu Mungu kubadili maisha yake na sasa anapewa heshima ambyo aliikosa kwa miaka mingi

Hivyo mi naamin maisha hayana kuchelewa wala kuwahi unaweza ukaanza vizuri na ukamaliza vibaya , unaweza kuanza vibaya na ukamaliza vizuri.. zote hizo ni rehma za Mwenyezi Mungu.

Ukiweza kula milo mitatu haimaanishi alie lala njaa siku mbili ana dhambi sana
kweli
 
Jamaa alikuwa rofa akaja kupata bingo akiwa na 70 yrs... Akaoa, akajenga, akanunua gari, akawekeza kwenye ardhi..
Akaanza form One - home study... sasa hivi yupo form IV. ana watoto 2 wa kwanza ana miaka 4 na mwingine 2 na mke ni mjamzito.
Jamaa kwa sasa ana 75 na mkewe ana miaka 32.
 
Back
Top Bottom