Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Mtoto wa kwanza inavyosemekana ndio kila kitu kwa maisha yako ya hapo baadae. Inapotokea umechelewa kupata mtoto wako wa kwanza, huko mbeleni kuna changamoto kubwa sana za kimaisha zinaweza kukupata umri unaopochelewa kupata mtoto.
Hebu leo tujaribu kujuzana ni umri gani hautakiwi uwe umeuvuka bila ya kupata mtoto wako wa kwanza.
21-24
25-30
30-35
35-40
Ni upi umri sahihi?
Hebu leo tujaribu kujuzana ni umri gani hautakiwi uwe umeuvuka bila ya kupata mtoto wako wa kwanza.
21-24
25-30
30-35
35-40
Ni upi umri sahihi?