G M S
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 502
- 53
Wadau naomba kujua huku kwetu umeme huwa unakatika na kurudi ila mara nyingi huwa nachaji laptop pind umeme ujapo kwa utulivu ila mara nyingine nikichomeka tu hii charger huwa unatoka mlio kwa sauti nadhani ni mlio wa feni huwa inatoa sana sauti ila nikichomoa tu unaacha na kwakuwa lengo ni kuchaji huwa naiacha iendelee kuingia chaji na mlio wake sasa wakuu hivi sababu ya mlio mkali unaokuwa kama unatoka kwenye feni ni nini naomba msaada khs hilo?