better parker
Senior Member
- Jul 26, 2016
- 166
- 103
Jamani naomba kufahamu kuhusu mikopo ya elimu ya juu kwa wale waliotoka makazini ipo kweli mana kuna blogger mmoja hivi ka post kudai mwaka uu au wale continues wanaweza wakasitishiwa mikopo sababu ni wafanyakazi wanao uwezo wa kujilipia please majibu naitaji