johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,599
- 141,415
Wananchi ni lazima tujue kwamba katiba ya JMT ndio inayobariki ushindi wa CCM.
Na kiukweli ukiangalia maeneo ambayo upinzani huwa unashinda mara nyingi inakuwa ni ulegelege wa mkurugenzi ambaye ndiye msimamizi wa uchaguzi au huruma tu ya CCM yenyewe.
Ni wale wananchi wapenda mageuzi mkaendelea na shughuli zenu nyakati za uchaguzi hadi pale hawa wanaojiita wapinzani watakapoipambania kwa dhati katiba mpya.
Kwa sasa wapinzani hawa uchwara wanapambania ruzuku ndio maana malengo yao wote ni kuwa " chama kikuu cha upinzani"
Maendeleo hayana vyama!
Na kiukweli ukiangalia maeneo ambayo upinzani huwa unashinda mara nyingi inakuwa ni ulegelege wa mkurugenzi ambaye ndiye msimamizi wa uchaguzi au huruma tu ya CCM yenyewe.
Ni wale wananchi wapenda mageuzi mkaendelea na shughuli zenu nyakati za uchaguzi hadi pale hawa wanaojiita wapinzani watakapoipambania kwa dhati katiba mpya.
Kwa sasa wapinzani hawa uchwara wanapambania ruzuku ndio maana malengo yao wote ni kuwa " chama kikuu cha upinzani"
Maendeleo hayana vyama!