Ni ujinga uliopitiliza kupanga foleni kumpigia kura mgombea wa CHADEMA/upinzani wakati msimamizi wa uchaguzi ni kada wa CCM

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,599
141,415
Wananchi ni lazima tujue kwamba katiba ya JMT ndio inayobariki ushindi wa CCM.

Na kiukweli ukiangalia maeneo ambayo upinzani huwa unashinda mara nyingi inakuwa ni ulegelege wa mkurugenzi ambaye ndiye msimamizi wa uchaguzi au huruma tu ya CCM yenyewe.

Ni wale wananchi wapenda mageuzi mkaendelea na shughuli zenu nyakati za uchaguzi hadi pale hawa wanaojiita wapinzani watakapoipambania kwa dhati katiba mpya.

Kwa sasa wapinzani hawa uchwara wanapambania ruzuku ndio maana malengo yao wote ni kuwa " chama kikuu cha upinzani"

Maendeleo hayana vyama!
 
Wananchi ni lazima tujue kwamba katiba ya JMT ndio inayobariki ushindi wa CCM.

Na kiukweli ukiangalia maeneo ambayo upinzani huwa unashinda mara nyingi inakuwa ni ulegelege wa mkurugenzi ambaye ndiye msimamizi wa uchaguzi au huruma tu ya CCM yenyewe.

Ni wale wananchi wapenda mageuzi mkaendelea na shughuli zenu nyakati za uchaguzi hadi pale hawa wanaojiita wapinzani watakapoipambania kwa dhati katiba mpya.

Kwa sasa wapinzani hawa uchwara wanapambania ruzuku ndio maana malengo yao wote ni kuwa " chama kikuu cha upinzani"

Maendeleo hayana vyama!
Zote hizo ni janja zetu za kuzuia watu wasipige kura kwa kuwatia fear of unknown ili mpate nafasi ya kuiba tofauti na wengi wakipiga kura watawapa kazi jinsi ya kutally wizi wa kura.Huwezi jua msimamizu anaweza jazwa Roho Mtakatifu pia.
Watu wajitokeze kwa wingi wao ndio waamue wawatakao.
 
Mheshimiwa nasari alishinda vituo vyote vya kupigia kura 2015 same to mbeya kwa sugu jee hao wasimamizi walisimamishwa na sasa wamerejeshwa kazini?
Wasimamizi wauchaguzj ni watanzania hatuwezi kwenda kununua wasimamizi wa uchaguzi Malaysia. Hivyo kama Sera na mikakati ipo imara basi hakuna kitakachozuia kushinda
 
Wananchi ni lazima tujue kwamba katiba ya JMT ndio inayobariki ushindi wa CCM.

Na kiukweli ukiangalia maeneo ambayo upinzani huwa unashinda mara nyingi inakuwa ni ulegelege wa mkurugenzi ambaye ndiye msimamizi wa uchaguzi au huruma tu ya CCM yenyewe.

Ni wale wananchi wapenda mageuzi mkaendelea na shughuli zenu nyakati za uchaguzi hadi pale hawa wanaojiita wapinzani watakapoipambania kwa dhati katiba mpya.

Kwa sasa wapinzani hawa uchwara wanapambania ruzuku ndio maana malengo yao wote ni kuwa " chama kikuu cha upinzani"

Maendeleo hayana vyama!
Ingekuwa wanapambania ruzuku wasingekuwa na makesi yasiyoisha mahakamani.Wangetulia tu
 
Mheshimiwa nasari alishinda vituo vyote vya kupigia kura 2015 same to mbeya kwa sugu jee hao wasimamizi walisimamishwa na sasa wamerejeshwa kazini?
Wasimamizi wauchaguzj ni watanzania hatuwezi kwenda kununua wasimamizi wa uchaguzi Malaysia. Hivyo kama Sera na mikakati ipo imara basi hakuna kitakachozuia kushinda
Ungekuwa mwanasiasa ungeelewa tofauti ya wakurugenzi wa 2015 na 2020!

Niishie hapo!
 
Wananchi ni lazima tujue kwamba katiba ya JMT ndio inayobariki ushindi wa CCM.

Na kiukweli ukiangalia maeneo ambayo upinzani huwa unashinda mara nyingi inakuwa ni ulegelege wa mkurugenzi ambaye ndiye msimamizi wa uchaguzi au huruma tu ya CCM yenyewe.

Ni wale wananchi wapenda mageuzi mkaendelea na shughuli zenu nyakati za uchaguzi hadi pale hawa wanaojiita wapinzani watakapoipambania kwa dhati katiba mpya.

Kwa sasa wapinzani hawa uchwara wanapambania ruzuku ndio maana malengo yao wote ni kuwa " chama kikuu cha upinzani"

Maendeleo hayana vyama!
Ni ujinga uliopitiliza kutegemea mbeleko hii
FB_IMG_1582080397242.jpg
 
Ukweli mchungu ninao uona ni kwamba wananchi wamekata tamaa sababu ya upinzani legelege hawana dira hata yale mema waliokuwa wanapigania sasa hivi wanapinga na wamejionesha wazi wako kinyume na wananchi. Tegemeo la wananchi sasa hivi ni magufuli wala sio ccm hivyo upinzani ujipange kuingusha ccm 2025
 
Wananchi ni lazima tujue kwamba katiba ya JMT ndio inayobariki ushindi wa CCM.

Na kiukweli ukiangalia maeneo ambayo upinzani huwa unashinda mara nyingi inakuwa ni ulegelege wa mkurugenzi ambaye ndiye msimamizi wa uchaguzi au huruma tu ya CCM yenyewe.

Ni wale wananchi wapenda mageuzi mkaendelea na shughuli zenu nyakati za uchaguzi hadi pale hawa wanaojiita wapinzani watakapoipambania kwa dhati katiba mpya.

Kwa sasa wapinzani hawa uchwara wanapambania ruzuku ndio maana malengo yao wote ni kuwa " chama kikuu cha upinzani"

Maendeleo hayana vyama!
Kwani katiba mpya ni kwajili ya wapinzani kushinda uchaguzi tu ?
 
Ukweli mchungu ninao uona ni kwamba wananchi wamekata tamaa sababu ya upinzani legelege hawana dira hata yale mema waliokuwa wanapigania sasa hivi wanapinga na wamejionesha wazi wako kinyume na wananchi. Tegemeo la wananchi sasa hivi ni magufuli wala sio ccm hivyo upinzani ujipange kuingusha ccm 2025
2025 Dr Magufuli atakuwa wapi?
 
mimi ni shabiki wa Magu tu sio sisiem naomba niweke hilo wazi, magoli ya mkono hupitia dizaini hii msimamizi uchaguzi wa sisiem mgombea chadema! hii haifai ndo chanzo cha wabunge ZZK auwawe, Sanamu la Diamond, Bangi iruhusiwe nk. Wabunge hawa na wa viti maalum hulifanya bunge kuwa dhaifu na kuishindwa kuisimamia na kuidabisha Executive na hivyo kuifanya serikali kuabudiwa badala ya wao kuabudu wapiga kura waliowapata ridhaa kuhifadhi na kutumia kodi zao!

Tume ya uchaguzi kupitisha wabunge feki ni sumu ya maendeleo ila kuwatimua wakurugenzi kusimamia uchaguzi ni hoja bora ya karne hii kutoka kwa Genius Shangazi Fatma yule binti mwanasheria mzenj ni Genius peke yake nchi nzima ya Zenj anaemfuatia kwa akili nyingi ni Jecha alietangaza mshindi wa uchaguzi akiwa chini ya uvungu peke yake bila kamati wala kufuata taratibu,

ukweli mimi nimesoma Mlimani ile yenyewe basi nilikuwa nikidharau mno wazenji nikiamini they cannot think like us ila baadae nilimkubali mno Shangazi Fatma katika hoja ya wasimamizi wa uchaguzi wawe neutral bila hivyo sisiem kidedea kwa karne mia mbili!

kwa miaka 20 chadema wanakula msoto , wanapotezwa, wanakula risasi na mabomu ya machozi, wako mahakamani kesi bandika bandua, wanakula vumbi kuandamana mabarabarani na kupigwa mabuti na virungu na kulipa mafaini kama yote na kulala selo na kunyea ndoo na kufungwa jela na kunyolewa vipara huko jela kumbe issue ni ndogo tu, kuperuse SHERIA YA UCHAGUZI, kucheza na vifungu tu vingine vitolewe vingine viongezwe, just paper work!!just office desk work!! Shangazi noma sana!

Angalizo:
Hivi nchi masikini ya bongo ni nani aliewaloga? hivi ni nani kati yetu yuko ni mzawa haswa nchi hii imejaa wakimbizi kutoka pande zote za dunia wakijifanya wabongo haswa na wengine wakiwa na nyazifa za juu? siku moja nilifika ofisi ya mfuko wa jamii boss mmoja top manyota pale Benjamin Mkapa building nikaongea nae jina la Kikenya pronounciation ya Kikenya nikasema tumekwisha!!

Hivi ni nani mtanzania yuko neutral nchini Tanzania kufaa kufanya kazi bila upendeleo tume ya uchaguzi?nchi hii ina ubaguzi mkubwa mno ulioko mioyoni mwa wabongo watu wanafki mno sababu midomoni hawasemi ubaguzi zao!!! nchi ya maajabu na vituko inafundisha ujamaa viongozi wengi wanaishi kibepari! (kuiba mali ya umma) , nchi hii hakuna neutral person, wewe kama sio sisiem uko upinzani, waislam versus wakristo, wabara versus wa pwani na visiwani, wanawake versus wanaume, matajiri versus maskini, wasomi versus wasiosoma!! haya na ukabila umo pia bima wanyakyusa, tra wachaga mlimani wahaya, polisi waislam kibao elimu ya juu wakristo, nchi mbovu sana hii na unafki za watu zitafanya iwe nchi maskini kwa karne nyingi, nchi hii kazi kupakapaka rangi na kufunikafunika ujinga tu , ukiwa msimamizi wa uchaguzi mhaya mgombea mhaya versus muha unampitisha mhaya!!

jibu la angalizo ninalo ila lipo mbali!
 
Back
Top Bottom