johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,765
- Thread starter
- #21
Na kushindwa pia bwashee!Kwani katiba mpya ni kwajili ya wapinzani kushinda uchaguzi tu ?
Na kushindwa pia bwashee!Kwani katiba mpya ni kwajili ya wapinzani kushinda uchaguzi tu ?
Kwanini wapambanie katiba mpya wenyewe peke yao kwani wananchi hawana uhitaji huo wa katiba mpya ?Na kushindwa pia bwashee!
Bwashee jifunze kufikiri "sawa sawa"Kumbe sisi wananchi katiba haina manufaa kwetu ni kwa manufaa ya wanasiasa wa upinzani tu kushinda chaguzi?
Tatizo wapinzani au ccm wanahisi watanzania hawaoni hata yanao endelea ccm kuna wachumia tumbo wengi tena majizi yamejificha kwenye mgongo wa chama dola. Wapinzani wameamua kuwa vibaraka wa mabeberu mchana kweupe. Tanzania tumebaki na magufuli muda wake ukiisha Mungu atatuletea mwingine wa kutuongoza kwasasa option ni moja tu ieleweke hivyo2025 Dr Magufuli atakuwa wapi?
Kwani wewe katiba iliyopo imekunyima nini?Kwanini wapambanie katiba mpya wenyewe peke yao kwani wananchi hawana uhitaji huo wa katiba mpya ?
Kwani mmegoma kuwapa Hadi wakazidai mahakamani.Ni kesi za kupambania ruzuku hizo!
Utawala boraKwani wewe katiba iliyopo imekunyima nini?
Zote hizo ni janja zetu za kuzuia watu wasipige kura kwa kuwatia fear of unknown ili mpate nafasi ya kuiba tofauti na wengi wakipiga kura watawapa kazi jinsi ya kutally wizi wa kura.Huwezi jua msimamizu anaweza jazwa Roho Mtakatifu pia.
Watu wajitokeze kwa wingi wao ndio waamue wawatakao.
Ndo najifunza hivo bwashee "zazawa"Bwashee jifunze kufikiri "sawa sawa"
Mataga Leo akili imerudi.yuko pamoja. Kuanzia Leo wewe ndio mataga kwenye akili timamuWananchi ni lazima tujue kwamba katiba ya JMT ndio inayobariki ushindi wa CCM.
Na kiukweli ukiangalia maeneo ambayo upinzani huwa unashinda mara nyingi inakuwa ni ulegelege wa mkurugenzi ambaye ndiye msimamizi wa uchaguzi au huruma tu ya CCM yenyewe.
Ni wale wananchi wapenda mageuzi mkaendelea na shughuli zenu nyakati za uchaguzi hadi pale hawa wanaojiita wapinzani watakapoipambania kwa dhati katiba mpya.
Kwa sasa wapinzani hawa uchwara wanapambania ruzuku ndio maana malengo yao wote ni kuwa " chama kikuu cha upinzani"
Maendeleo hayana vyama!
Ni Polepole amekutuma “KUENEZA” hii habari?! Mna mapenzi ya dhati na CDM na upinzani kwa ujumla! Asanteni sana!Wananchi ni lazima tujue kwamba katiba ya JMT ndio inayobariki ushindi wa CCM.
Na kiukweli ukiangalia maeneo ambayo upinzani huwa unashinda mara nyingi inakuwa ni ulegelege wa mkurugenzi ambaye ndiye msimamizi wa uchaguzi au huruma tu ya CCM yenyewe.
Ni wale wananchi wapenda mageuzi mkaendelea na shughuli zenu nyakati za uchaguzi hadi pale hawa wanaojiita wapinzani watakapoipambania kwa dhati katiba mpya.
Kwa sasa wapinzani hawa uchwara wanapambania ruzuku ndio maana malengo yao wote ni kuwa " chama kikuu cha upinzani"
Maendeleo hayana vyama!
Unakosea mkuu! Akili hamna hapo, kuna yale yale ya siku zote!Mataga Leo akili imerudi.yuko pamoja. Kuanzia Leo wewe ndio mataga kwenye akili timamu
Hahahaaaa...... Namuona KUB anaingia Takukuru muda huu!Mataga Leo akili imerudi.yuko pamoja. Kuanzia Leo wewe ndio mataga kwenye akili timamu
Chadema imeishiwa pumzi by Lijualikali!Unakosea mkuu! Akili hamna hapo, kuna yale yale ya siku zote!
Chato regime inamuogopa sana. Haijui kuwa upinzani ni wana nchi na sio Mbowe. But Ndungai si alimchagua Lwakatare ndio awe KUB?Hahahaaaa...... Namuona KUB anaingia Takukuru muda huu!
Kwa sasa Lwakatare ndio KUB bwashee!Chato regime inamuogopa sana. Haijui kuwa upinzani ni wana nchi na sio Mbowe. But Ndungai si alimchagua Lwakatare ndio awe KUB?