Hakuna maana nyingine ya mazoezi zaidi ya kunyoosha viungo vya mwili na misuli yake. Fanya ufanyacho, kwa njia yoyote ile ili mradi lengo hili lifikiwe. Usi-complicate maisha.Hujui Maana Ya Mazoezi, Usijifanye Mujuaji Omba Msaada Uelekezwe, Itakusaidia!