Ama kweli wahenga waliona mbali sana, ndiyo maana wakatoa misemo mingi sana ya kuelimisha na kuionya jamii. Mfano:- Ujinga ni mzigo.
Yaani unaacha kukimbia km 7.5 kwa kukukuruka na mkeo unaenda kando ya barabara unakimbia km 1.5 !!!!
Shituka ewe mwanaume, amka, gym unayo hapo kitandani. Itumie vizuri utoke jasho uchome sukari na mafuta mwilini.
Asanteni.
Yaani unaacha kukimbia km 7.5 kwa kukukuruka na mkeo unaenda kando ya barabara unakimbia km 1.5 !!!!
Shituka ewe mwanaume, amka, gym unayo hapo kitandani. Itumie vizuri utoke jasho uchome sukari na mafuta mwilini.
Asanteni.