Makosa
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 1,183
- 2,612
Wanasema usichokipenda wewe basi usidhani kila mtu hakipendi.
Imetokea kasumba ya kusema mtandao wa Instagram ni wa "kimama" na hivyo walioko huko wana "element za kimama" haya ni mawazo ya watu masikini wanaodhani wao kutokuwa huko basi ndio wataonekana ndio watu bora kabisa "Great thinker"
Huu mtandao utauona ni mbaya au mzuri kutokana na yale uliyayafollow na unayoyasearch kila siku.
Watu wengi Sana wanafanya biashara kwa kutumia huu mtandao kuliko mitandao mingine na ni rahisi pia kwa kuwasilisha mawazo yako kuliko mitandao mingine hivyo unaposema ni wa "kidaku" basi uko wrong , utasema ni wa kidaku kama umefollow "udaku"
Kule kinachotakiwa ni nidhamu ya mtu mwenyewe ya kuweza kuutumia vizuri na kufaidika nao.
Sio ukiona mtu mmoja amefollow page za udaku basi ndio unajumuisha Watanzania wote walioko Instagram wanafollow page za udaku.
JamiiForums wapo kule
@maxence yupo kule
Ikulu wapo kule
Tundu Lisu tunampata kule
J . Kikwete tunampata kule n.k
Sasa wewe ni nani mpaka useme Instagram ni mbaya?
Imetokea kasumba ya kusema mtandao wa Instagram ni wa "kimama" na hivyo walioko huko wana "element za kimama" haya ni mawazo ya watu masikini wanaodhani wao kutokuwa huko basi ndio wataonekana ndio watu bora kabisa "Great thinker"
Huu mtandao utauona ni mbaya au mzuri kutokana na yale uliyayafollow na unayoyasearch kila siku.
Watu wengi Sana wanafanya biashara kwa kutumia huu mtandao kuliko mitandao mingine na ni rahisi pia kwa kuwasilisha mawazo yako kuliko mitandao mingine hivyo unaposema ni wa "kidaku" basi uko wrong , utasema ni wa kidaku kama umefollow "udaku"
Kule kinachotakiwa ni nidhamu ya mtu mwenyewe ya kuweza kuutumia vizuri na kufaidika nao.
Sio ukiona mtu mmoja amefollow page za udaku basi ndio unajumuisha Watanzania wote walioko Instagram wanafollow page za udaku.
JamiiForums wapo kule
@maxence yupo kule
Ikulu wapo kule
Tundu Lisu tunampata kule
J . Kikwete tunampata kule n.k
Sasa wewe ni nani mpaka useme Instagram ni mbaya?