Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Kwa hali ya sasa ni uboya wa kiwango cha kimataifa kutuma tuma hela ovyo Kwa mwanamke ambae hata hujawahi kumla, Demu unamtumia hela anaenda kugongwa na wengine ukigundua unajipa presha Tu
Siku hizi ni give to me I give to u masuala ya kuhonga honga ni uboya kabisa
Bora uitwe mwanaume suruali kwani shida iko wapi wanaume mavazi yetu ni suruali.
Kuna wale mademu njaa ukiomba namba ya simu Tu ukamtafuta ataanza kukutangazia njaa hasa msimu huu wa sikukuu kana kwamba wee ni mzazi wake.
Bora hiyo pesa uwekeze Kwa familia au unywe bia kuliko kumpa demu asiewahi kukupa mzigo ni hasara mno. Najua wale mademu wapenda dezo watakuja na mapovu hapa kujitetea
Sio Kwa usawa huu hakuna cha bure hapa.
Siku hizi ni give to me I give to u masuala ya kuhonga honga ni uboya kabisa
Bora uitwe mwanaume suruali kwani shida iko wapi wanaume mavazi yetu ni suruali.
Kuna wale mademu njaa ukiomba namba ya simu Tu ukamtafuta ataanza kukutangazia njaa hasa msimu huu wa sikukuu kana kwamba wee ni mzazi wake.
Bora hiyo pesa uwekeze Kwa familia au unywe bia kuliko kumpa demu asiewahi kukupa mzigo ni hasara mno. Najua wale mademu wapenda dezo watakuja na mapovu hapa kujitetea
Sio Kwa usawa huu hakuna cha bure hapa.