EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Hahaha! hapana mkuu unaweza kuuliza swali,hii signature niliweka baada ya waziri mmoja kukata kujibu swali bungeni akidai eti ni swali jipya lol! Hii delay spray ni ufumbuzi wa muda mfupi na inakatazwa kutumiwa kwa muda murefu, itamsaidia mhusika hapa juu aweze kujua utafauti wa dakika moja na dakika 15-20 na inaweza kumpa confidence asihitaji tena tiba ingine,mimi mwenyewe nilitumia hapo zamani ni sikuhitaji tena baada ya wiki mbili.
Ninavyosikia ni japokuwa hizo delay sprays zimefanikiwa kuongeza muda ya sexual intercourse, nyingi hazijawa designed specifically or lincensed for that purpose. Pia kama ulivyosema zina limitations zake ambazo ni muhimu mtumiaji kuzijua. Haushauriwi kutumia kama partner ana alegi anaesthetics related, michubuko (kwa wote), ni mjamzito, kama mtumiaji ana au alishakuwa na matatizo ya liver or kidney. Pia kama una high blood pressure au unatumia dawa nyingine avoid hiyo kitu au tafuta ushauri wa daktari. Ndio maana nikashauri akamwone daktari kwanza usikute mwenzetu ana matatizo mengine ya kiafya ambayo hata yeye mwenyewe hayajui.
Halafu products ambazo zimetengenezwa with chemicals zinakuwa na side effects. Kuna wengine wanasema delay spray wakati mwingine zinafanya penis to go numb baada ya kutumia. Delay spray ina chemical ingredient moja inayoitwa Lidocaine or also known as numbing properties that makes it so ineffective. Just imagine yourself being numb, you wouldn't feel a thing right? That is also similar when you want to apply this unique make enhancement product to your penis. You wouldn't feel any sensation even if it is erecting so hard. It is not an ideal thing to do. There are also some testimonials that it gives an irritation to the skin. If your penis is numb, then what do you think will happen to your partner's vagina? It will be numb too. And if you are both numb, you won't feel anything.
Still naona kuna umuhimu mkubwa wa kutumia behavioural or other drug therapies. Mwili wenye afya utamsadia ku develop stamina. Pia kufanya breathing exercises is much more effective than using some male enhancement products. Kama anakunywa sana pombe au anavuta sigara apunguze au aache kabisa. Ale vyakula bora. Afanye mazoezi. Kubwa zaidi amwone daktari.