Ni uelewa mdogo wa wazazi au.....????

Mtalingolo

JF-Expert Member
Aug 4, 2011
2,181
409
Habari wana jamvi, naimani wengi wenu bado mpo kwenye maeneo yenu ya kazi...

Kwakifupi mimi ni kijana wakiume miaka kati ya 20-25, nafanya kazi kwenye duka la babaangu ya kuuza spare za magari,
Eneo lilipo duka nalouza kuna maduka mengine ya bidhaa tofauti na kati ya hayo kuna duka moja la vipodozi., kwa kawaida eneo lolote lakazi kuna mazoea flani baina ya wanajimii wa eneo husika..
Ishu ni kwamba mama mwenye duka la vipodozi kamwajiri mfanya kazi ambae huwa wanamletea chakula watoto wa huyo mama ambao ni mabinti, sasa binti mmoja anamazoea yakuja dukani mwangu kunipa hii anapokuja kuleta chakula,
sasa leo binti kaja dukani ile tunapiga story mama yake katokea, binti kaondoka zake, sasa mama yake kanikoromea na kufoka kuwa niache uhusiano na mwanae, hata nilipomueleza kuwa hatuna mahusiano hajanikubalia, kamfata mpaka baba yangu nae kamwambia kuwa mimi namahusiano na mwanae, mzee hajaniambia kitu kwa sasa ila najua tukirudi home atanipa nae vyake, sasa sajui hata niwaambiaje ili wanielewe...

Mawazo yenu tafadhari...
 
Mhhh hapo pagumu maana binti huna mahusiano naye ila kaja kwako dukani kukaa na binti anafaa kuwa mke
Mhh hapo subiria kibano tuu
Ila wazee huwa hawajali sana maana wanajua hapa mtoto wangu ni kidume
 
Mhhh hapo pagumu maana binti huna mahusiano naye ila kaja kwako dukani kukaa na binti anafaa kuwa mke
Mhh hapo subiria kibano tuu
Ila wazee huwa hawajali sana maana wanajua hapa mtoto wangu ni kidume

Mr.Rock mie nachotaka waelewe kuwa sina mahusiano na binti yao, coz mazaake kanifokea na kadai akipata mimba wananiachia mzigo, sa akipata na wakiti mie sina uhusiano naye si itakuwa msala kwangu???
 
Mr.Rock mie nachotaka waelewe kuwa sina mahusiano na binti yao, coz mazaake kanifokea na kadai akipata mimba wananiachia mzigo, sa akipata na wakiti mie sina uhusiano naye si itakuwa msala kwangu???

Mweleze baba yako hali halisi na wazazi wako waongee na wawende kwa huyo mwenye mtoto wakae nae kikao mbele ya binti mhusika
Akiri mwenyewe kwa mdomo wake na wapigwe marufuku kuja kwako kama wanaona kuja kwako ni issue
Na sio wewe uliyewaita ila wanakuja wenyewe so waambie wazi kabisa hutaki kuwaona dukani kwako
 
Habari wana jamvi, naimani wengi wenu bado mpo kwenye maeneo yenu ya kazi...

Kwakifupi mimi ni kijana wakiume miaka kati ya 20-25, nafanya kazi kwenye duka la babaangu ya kuuza spare za magari,
Eneo lilipo duka nalouza kuna maduka mengine ya bidhaa tofauti na kati ya hayo kuna duka moja la vipodozi., kwa kawaida eneo lolote lakazi kuna mazoea flani baina ya wanajimii wa eneo husika..
Ishu ni kwamba mama mwenye duka la vipodozi kamwajiri mfanya kazi ambae huwa wanamletea chakula watoto wa huyo mama ambao ni mabinti, sasa binti mmoja anamazoea yakuja dukani mwangu kunipa hii anapokuja kuleta chakula,
sasa leo binti kaja dukani ile tunapiga story mama yake katokea, binti kaondoka zake, sasa mama yake kanikoromea na kufoka kuwa niache uhusiano na mwanae, hata nilipomueleza kuwa hatuna mahusiano hajanikubalia, kamfata mpaka baba yangu nae kamwambia kuwa mimi namahusiano na mwanae, mzee hajaniambia kitu kwa sasa ila najua tukirudi home atanipa nae vyake, sasa sajui hata niwaambiaje ili wanielewe...

Mawazo yenu tafadhari...

Mawazo yangu sasa!...

1.Kwanza naona haujielewi kabisa kiasi kwamba hata umri wako mdogo haujui..Jibu la hili_hebu waulize wazazi wako kwamba ulizaliwa mwaka gani
2.Wewe na huyo dada(anayekupa hii)mnataka kujenga mahusiano ya kimapenzi,na huyo mama kawashtukia na kaamua kukupiga bit umuache mdada,..kama vip komaa mpaka kieleweke(kama unampenda lakn)
3.Maadam umemuambia hamna mahusiano ya kimapenzi na mtoto wake na kama ni kweli basi kuwa na amani moyoni,..na hata msure akidinda home wewe mwambie ukweli wa mambo hakuna haja ya kuogopa kitu ambacho haujakifanya.

Nb:wewe una dhamira mbaya na huyo sister ndio maana una weweseka ovyo
 
Mawazo yangu sasa!...

1.Kwanza naona haujielewi kabisa kiasi kwamba hata umri wako mdogo haujui..Jibu la hili_hebu waulize wazazi wako kwamba ulizaliwa mwaka gani
2.Wewe na huyo dada(anayekupa hii)mnataka kujenga mahusiano ya kimapenzi,na huyo mama kawashtukia na kaamua kukupiga bit umuache mdada,..kama vip komaa mpaka kieleweke(kama unampenda lakn)
3.Maadam umemuambia hamna mahusiano ya kimapenzi na mtoto wake na kama ni kweli basi kuwa na amani moyoni,..na hata msure akidinda home wewe mwambie ukweli wa mambo hakuna haja ya kuogopa kitu ambacho haujakifanya.

Nb:wewe una dhamira mbaya na huyo sister ndio maana una weweseka ovyo[/QUOTE]


Umeona eehhh
Nahisi dogo kashafanya mambo yake na alikutwa katika mazingira hatarishi ndo maana mama kaja juu
Kama binti angekutwa tuu nje kasimama hana hili wala lile mama asingekuja juu na jkutishia eti akipata mimba jamaa atakoma
Walikutwa katika mazingira ya kuambiana sera za kuiondoa aibu machoni ndo maana wakapigwa biti
 
Mweleze baba yako hali halisi na wazazi wako waongee na wawende kwa huyo mwenye mtoto wakae nae kikao mbele ya binti mhusika
Akiri mwenyewe kwa mdomo wake na wapigwe marufuku kuja kwako kama wanaona kuja kwako ni issue
Na sio wewe uliyewaita ila wanakuja wenyewe so waambie wazi kabisa hutaki kuwaona dukani kwako

Yeah hiyo hata mimi nimeifikiria, ni bora tuitwe wote then tuulizane kisha mipaka iwekwe, coz sijamfata kaja mwenyewe then iweje niwe na kosa mimi

( kweli akinya kuku ma...., lakini kwa bata ni uhar.....)
 
Yeah hiyo hata mimi nimeifikiria, ni bora tuitwe wote then tuulizane kisha mipaka iwekwe, coz sijamfata kaja mwenyewe then iweje niwe na kosa mimi

( kweli akinya kuku ma...., lakini kwa bata ni uhar.....)

Hapo na wewe ulishindwa kusoma alama za nyakati bana
Binti alikuw akatika mazingira ambayo mama yake alijua tuu kuwa hapo nyie mna mahusiano ndo maana kawa mkali
So jiandae kujibu mashambulizi na binti inavyoelekea kwako kashafika
 
Mawazo yangu sasa!...

1.Kwanza naona haujielewi kabisa kiasi kwamba hata umri wako mdogo haujui..Jibu la hili_hebu waulize wazazi wako kwamba ulizaliwa mwaka gani
2.Wewe na huyo dada(anayekupa hii)mnataka kujenga mahusiano ya kimapenzi,na huyo mama kawashtukia na kaamua kukupiga bit umuache mdada,..kama vip komaa mpaka kieleweke(kama unampenda lakn)
3.Maadam umemuambia hamna mahusiano ya kimapenzi na mtoto wake na kama ni kweli basi kuwa na amani moyoni,..na hata msure akidinda home wewe mwambie ukweli wa mambo hakuna haja ya kuogopa kitu ambacho haujakifanya.

Nb:wewe una dhamira mbaya na huyo sister ndio maana una weweseka ovyo

1. IGWE nauelewa tosha juu ya umri wangu, kuweka hvo ni kufunika pombe tu mwanaharamu apite.

2. Sijawah kuwa na mahusiano na huyo binti tangu nimeanza kumuona machoni mwangu, so sina nia mbaya nae.

3. Kwa maelezo ya mashuhuda wa tukio ni kwamba maza yule anatabia hyo akimuona binti yake anaongea na wanaume, na wengi kesha wakoromea sio mimi wakwanza..

Kwahyo sioni kosa langu hapo....
 
Hapo na wewe ulishindwa kusoma alama za nyakati bana
Binti alikuw akatika mazingira ambayo mama yake alijua tuu kuwa hapo nyie mna mahusiano ndo maana kawa mkali
So jiandae kujibu mashambulizi na binti inavyoelekea kwako kashafika

Mkuu labda kama yeye anahisia hizo but binafsi walaa, tena hata msisimko wa kuwanae sijawah kupata,
 
Habari wana jamvi, naimani wengi wenu bado mpo kwenye maeneo yenu ya kazi...

Kwakifupi mimi ni kijana wakiume miaka kati ya 20-25, nafanya kazi kwenye duka la babaangu ya kuuza spare za magari,
Eneo lilipo duka nalouza kuna maduka mengine ya bidhaa tofauti na kati ya hayo kuna duka moja la vipodozi., kwa kawaida eneo lolote lakazi kuna mazoea flani baina ya wanajimii wa eneo husika..
Ishu ni kwamba mama mwenye duka la vipodozi kamwajiri mfanya kazi ambae huwa wanamletea chakula watoto wa huyo mama ambao ni mabinti, sasa binti mmoja anamazoea yakuja dukani mwangu kunipa hii anapokuja kuleta chakula,
sasa leo binti kaja dukani ile tunapiga story mama yake katokea, binti kaondoka zake, sasa mama yake kanikoromea na kufoka kuwa niache uhusiano na mwanae, hata nilipomueleza kuwa hatuna mahusiano hajanikubalia, kamfata mpaka baba yangu nae kamwambia kuwa mimi namahusiano na mwanae, mzee hajaniambia kitu kwa sasa ila najua tukirudi home atanipa nae vyake, sasa sajui hata niwaambiaje ili wanielewe...

Mawazo yenu tafadhari...
binti ana umri gani? kama ni underage wazazi wana haki kabisa ya kuwa apprehensive.
 
binti ana umri gani? kama ni underage wazazi wana haki kabisa ya kuwa apprehensive.

Mkuu za kupotea
Au bado unaendelea kufanya mambo yako
Mhhh huoni jamaa mwenyewe nae ni underage kwa maana ya mtu wa kuwa kwenye real relationship
 
Mkuu za kupotea
Au bado unaendelea kufanya mambo yako
Mhhh huoni jamaa mwenyewe nae ni underage kwa maana ya mtu wa kuwa kwenye real relationship
Mkuu at 21 unatakiwa uwe responsible na maisha yako,huyu kijana awe mwangalifu maana akizoea vibinti under age ataishia kula mvua 30 with no parole.
 
Mkuu at 21 unatakiwa uwe responsible na maisha yako,huyu kijana awe mwangalifu maana akizoea vibinti under age ataishia kula mvua 30 with no parole.

mkuu nafikiri haijui SOSPA vizuri au anaisikia tuu
KAtika umri huo hajajua kuw ahuyu binti anamtaka au ana nia gani mkuu
 
Kama unampenda huyo binti fanya mpango wa kufomalize uhusiano wenu haraka. Kama huna na wala humtaki, haraka mwekeewewe kizingiti hata kabla ya wazazi (mama) wake. Vyenginevyo utashtukia unatwangwa ya mkeka au kubambikiziwa kichanga kisichokuwa chako. Take care!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom