Mtalingolo
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 2,181
- 409
- Thread starter
- #21
Kama unampenda huyo binti fanya mpango wa kufomalize uhusiano wenu haraka. Kama huna na wala humtaki, haraka mwekeewewe kizingiti hata kabla ya wazazi (mama) wake. Vyenginevyo utashtukia unatwangwa ya mkeka au kubambikiziwa kichanga kisichokuwa chako. Take care!
Nikisema simpend simaanish kwamba ni m'baya hapana, ila sina hisia za mapenz juu yake, nilikuwa namchukulia kama rafiki angu tu wakawaida nothing else...