Unamaanisha E.Mtei au? Mbona sijasikia mtu akimtaja Mh. Mbowe?
Kutokana na tafiti zangu nilizo nifanya nimegundua kwamba mgombea pekee anayeweza kushindana na magufuli kupitia tiketi ya ukawa ni tundu lisswu
Nasema hivyo kwa sababu tundu lissu ndie pekee atakayeleta ushindani wa kweli kutokana na juhudi zake katika kutetea maslah ya watanzania.ninauhakika kabisa akisimamishwa tundu lisu bas hata wale wakanda ya ziwa wanao daiwa kurudisha kadi bas watakua wanajilaumu
Nawakilisha
Huu sio wakati wa kutengeneza makundi wanatakiwa wafanye kama CCM nasisitiza wakimsimamisha mgombea tofauti na tundu lisu basi uje CCM Hawatakua na haja ya kufanya kampeni
Ukawa kaombeni mgombea ccm sioni wa kupambana na magufuli
Kutokana na tafiti zangu nilizo nifanya nimegundua kwamba mgombea pekee anayeweza kushindana na Magufuli kupitia tiketi ya UKAWA ni Tundu Lissu.
Nasema hivyo kwa sababu Tundu Lissu ndiye pekee atakayeleta ushindani wa kweli kutokana na juhudi zake katika kutetea maslah ya watanzania.
Nina uhakika kabisa akisimamishwa Tundu Lisu basi hata wale wakanda ya ziwa wanaodaiwa kurudisha kadi basi watakuwa wanajilaumu.
Nawakilisha.
Lissu abaki bungeni tu gap lake hakuna wa kuziba
tupo huku hakuna aliyerudisha kadi, n maneno tu'
Mkuu huo ni mpango surprise, subiri utasikia.....
ni huruma tu nawaoneeni maana mmekata tamaa baada ya kutangazwa magufulimacho yako yana ukungu wa rushwa na ufisadi hivyo ni haki yako kutokuona