Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuko pamoja mkuu.Nikweli ukawa Lisu ndo mpango mzima
at least atajaribu...[/QUOTE
Unajua lisu ataleta hamasa nyingine tena kwa watanzania hasa katika harakati zake za kufichua maovu ya wana ccm wengi na pia katika kutetea katiba ya jamhuri ya muungano..vilevile wanafanana na magufuli hasa kiutendaji
Tundulisu wanao mwelewa ni wasomi Wala wasijaribu
Kutokana na tafiti zangu nilizo nifanya nimegundua kwamba mgombea pekee anayeweza kushindana na magufuli kupitia tiketi ya ukawa ni tundu lissu
Nasema hivyo kwa sababu tundu lissu ndie pekee atakayeleta ushindani wa kweli kutokana na juhudi zake katika kutetea maslah ya watanzania.ninauhakika kabisa akisimamishwa tundu lisu bas hata wale wakanda ya ziwa wanao daiwa kurudisha kadi bas watakua wanajilaumu
Nawakilisha
mkuu umeona mbali coz hata ukiangalia Dr slaa watu walimkubali sana wakati wa Richmond na akaweza kumpeleka puta mzee wa msoga watanzania wanapenda kwenda na matukio ndo maana hata system imeshajua udhaifu wetu ndo maana ikitokea scandals kulizima wanaanzisha kitu kingine kinakuwa hot hata kwenye media kile kingine wanakisahau sasa Dr slaa is out of pictures kwa miaka 5 haya lissu for now huko on fire trust me wakimchagua lissu am sure ccm wata pagawa like tulivyo mchagua Dr slaa 5 years ago bt Dr slaa is so yesterday compare to magufuli aliekuwa main stream haya ni mawazo yangu
Kutokana na tafiti zangu nilizo nifanya nimegundua kwamba mgombea pekee anayeweza kushindana na magufuli kupitia tiketi ya ukawa ni tundu lissu
Nasema hivyo kwa sababu tundu lissu ndie pekee atakayeleta ushindani wa kweli kutokana na juhudi zake katika kutetea maslah ya watanzania.ninauhakika kabisa akisimamishwa tundu lisu bas hata wale wakanda ya ziwa wanao daiwa kurudisha kadi bas watakua wanajilaumu
Nawakilisha
Je wenye vyama wataridhia huyo jamaa apeperushe bendera?
Which means UKAWA hawana taratibu zao hadi wasubiri comment yako kuwachagulia mwakilishi wao?
Nimemuuliza huyo maana amesema juma haji duni atakuwa mgombea mwenza wa Dr slaa sa sijui anafuatilia vipi siasa kama hasomi hata katiba