IqraNI
Senior Member
- May 16, 2020
- 140
- 136
Nakumbuka wangu akiwa na miezi kama mitano hivi, mtoto wa mpangaji mwenzangu akaja kumchukua ambebe bahati mbaya mtoto akajigonga, akawa anatoka damu mdomoni.
Sikuweza hata kumshika, mwili ulikuwa kama unatetemeka huku namuangalia kwa huruma.
Akaja jirani kumchukua, akamuosha kwa maji ya vuguvugu na chumvi kidogo.
Hilo ndio tukio pekee lililofanya mwili wangu upate ganzi mpaka sasa anaelekea miaka minne.
Sikuweza hata kumshika, mwili ulikuwa kama unatetemeka huku namuangalia kwa huruma.
Akaja jirani kumchukua, akamuosha kwa maji ya vuguvugu na chumvi kidogo.
Hilo ndio tukio pekee lililofanya mwili wangu upate ganzi mpaka sasa anaelekea miaka minne.