Nyaka-One
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 4,314
- 5,982
Ndugu wadau wa ujasiriamali kwa wenye majibu ya uhakika naomba kufahamishwa mbali na masuala ya uwepo wa eneo, mtaji, leseni ya biashara ya TRA na usajili wa BRELA ni taratibu zipi zingine zinatakiwa kufuatwa ili kuweza kufungua kiwanda kidogo cha chakula cha kuku chenye uwezo wa kuzalisha kama tani 40-50 kwa siku?