mambali
Senior Member
- Oct 16, 2012
- 172
- 64
Habari wana jamvi,
Naomba nipate utaratibu ni hatua gani zinatakiwa zifuatwe baada ya kumpata mwenza hadi kufikia hatua ya kufunga ndoa namaanisha baada ya wazazi kuwatambua ni hatua gani zinafuatia kwa mtiririko!
Nitashukuru sana kwa msaada wenu upande wa ni wakristo thehebu katoliki upande wa mila no hizi mila zetu kama zilivozoeleka.
Naomba nipate utaratibu ni hatua gani zinatakiwa zifuatwe baada ya kumpata mwenza hadi kufikia hatua ya kufunga ndoa namaanisha baada ya wazazi kuwatambua ni hatua gani zinafuatia kwa mtiririko!
Nitashukuru sana kwa msaada wenu upande wa ni wakristo thehebu katoliki upande wa mila no hizi mila zetu kama zilivozoeleka.