Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,888
- 143,985
Naomba kuuliza iwapo mtu amekopa fedha na akaweka kiwanja kama dhamana na kukawa na mkataba wa maandishi kuwa akishindwa kulipa deni basi kiwanja alichoweka Kama dhamana kitachukuliwa na kuwa mali ya mkopeshaji na ambachi atakiuza ili kulipia deni.
Kwa mfano,hata kama mkataba unamruhusu mkopeshaji kuchukua kiwanja husika kama mali yake ili aweze kukiuza kurudisha hela yake,ni lazima apate kibali cha mahakama?
Pia, kwa wanaofanya biashara hii ya kukopesha kama watu binafsi na bila kusajiliwa na bila kulipa kodi ya serikali,wana uhalal kisheriai wa kuchukua dhamana ya mkopaji na kuiza ili kufidia deni?
Na mamlaka za utoaji wa hati zinatakiwa kupata/kupewa document gani ili kubadilisha umiliki wa kiwanja kwa mtu alieshindwa kulipa deni?
Je, mamlaka zitatumia mkataba wa kukopeshana tu kuhamisha umiliki?
Nini nafasi ya mdaiwa katika jambo hili?
Je, ni lazima nae ahusishwe?
Kama mdaiwa amegoma kuhusishwa,mkopeshaji anatakiwa afanye nini ili aweze kuuza kiwanja kihalali?
Na mbali na hati za viwanja,hali ikoje kwa vitu kama kadi za vyombo vya moto(gari,pikipiki,n.k) vilivyowekwa kama dhamana?
Kwa mfano,hata kama mkataba unamruhusu mkopeshaji kuchukua kiwanja husika kama mali yake ili aweze kukiuza kurudisha hela yake,ni lazima apate kibali cha mahakama?
Pia, kwa wanaofanya biashara hii ya kukopesha kama watu binafsi na bila kusajiliwa na bila kulipa kodi ya serikali,wana uhalal kisheriai wa kuchukua dhamana ya mkopaji na kuiza ili kufidia deni?
Na mamlaka za utoaji wa hati zinatakiwa kupata/kupewa document gani ili kubadilisha umiliki wa kiwanja kwa mtu alieshindwa kulipa deni?
Je, mamlaka zitatumia mkataba wa kukopeshana tu kuhamisha umiliki?
Nini nafasi ya mdaiwa katika jambo hili?
Je, ni lazima nae ahusishwe?
Kama mdaiwa amegoma kuhusishwa,mkopeshaji anatakiwa afanye nini ili aweze kuuza kiwanja kihalali?
Na mbali na hati za viwanja,hali ikoje kwa vitu kama kadi za vyombo vya moto(gari,pikipiki,n.k) vilivyowekwa kama dhamana?