chawa wa mama
JF-Expert Member
- Jun 8, 2020
- 292
- 1,082
Kumekuwa na malalamiko mengi sana ya wawekezaji wa Tanzania kukwamishwa na TRA ktk kukokotoa makadirio ya kodi, na malimbikizo ya kod. Na gharama za kuagiza bidhaa yoyote nje ya nchi ni kubwa sana.
Mamlakani kama TBS, NEMC, BRELLA na TMDA na wenzao wamekuwa wakikwamisha wawekezaji kuzungusha kutoa vibali.
Malalamiko ni mengi sana, je ni Tanzania tu au nchi gani zina unafuu ktk kushughulikia mwekezaji na kumpa favour na ulinzi kama mwekezaji? Hasa ktk nchi za Afrika?
Mamlakani kama TBS, NEMC, BRELLA na TMDA na wenzao wamekuwa wakikwamisha wawekezaji kuzungusha kutoa vibali.
Malalamiko ni mengi sana, je ni Tanzania tu au nchi gani zina unafuu ktk kushughulikia mwekezaji na kumpa favour na ulinzi kama mwekezaji? Hasa ktk nchi za Afrika?