Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 10,326
- 6,849
Any allegorical meaning in your statement?And he died Virgin
Any allegorical meaning in your statement?And he died Virgin
Mkuu umeshusha vitu, safi. Yaani Africa tumeingiza Egypt tu? Hakuna weusi?
Shukrani kwa mchango wako.BRITAIN, maendeleo makubwa tunayoyaona leo yamekuja baada ya mapinduzi makubwa ya kiviwanda kutokea uingereza. ingawa kwa leo nchi inayoongoza katikamaendeleo ya sayansi na teknlojia ni USA.
Shukrani sana kwa mchango wako. Ingawa, umetaja nchi ama umetoa majibu mengine ambayo hayako ndani ya mipaka (scope) ya swali.• WAGIRIKI / WAYUNANI
√ Elimu hasa ya darasani kwa dunia hii na Mifumo yake tangu utotoni mpaka Uzeeni (Elementary Education) kuhusu Saikolojia ya Binadamu, Falsafa ya ndani kabisa, na Matibabu
• WAISRAEL
√ Kilimo, Ubunifu na Ugunduzi wa Viwanda mbalimbali vikubwa duniani kote pamoja na silaha za kivita
• WALATINI YAANI WARUMI na nchi zake hasa ITALY, SPAIN & FRANCE
√ Uendelezaji na Uekezaji wa Elimu ya Wagiriki wa kale (Ancient Greeks) pamoja na Mapinduzi ya Uhandisi wa Majengo, hasa Makanisa, Shule, Barabara, Madaraja na Nyumba Imara na bora za kuishi
• WAMISRI WA KALE /ANCIENT EGYPTIANS
√ Uhandisi wa makaburi ya mapiramidi ya kudumu, Matibabu na Utawala
• WACHINA WA KALE / ANCIENT CHINESE
√ Matibabu na Madawa
• WAINGEREZA YAANI GREAT BRITAIN (GB) & OTHER GERMANIC NATIONS KAMA GERMANY YENYEWE
√ Kwa Modern world Baadae around karne ya 16 mpaka leo hii hawa wali take Over, wakaasisi Mapinduzi ya Viwanda vikubwa sana na Ugunduzi wa Umeme. Viwanda vya Magari, Meli, Treni, Vifaa vya Umeme, Drillers, Millers na Uongozi bora pamoja na Sheria hasa ile Magna Carta
• USA, JAPAN, KOREA, RUSSIA & TURKEY
√ Waliendeleza zaidi walichoanzisha Waisrael, Waingereza na Wajerumani ila USA na RUSSIA wakaenda mbali zaidi kugundua usafiri wa Anga (Aircrafts), Internet na Silaha kali za kivita
• ISRAEL, HOLLAND
√ Kilimo cha kisasa na Ufugaji
Ahsante kubwa zaidi kwa Waingereza na Wamarekani kwani Sayansi, Elimu, Utawala, Sheria na teknolojia yao ndio tunayoiishi hata sasa, ambapo China na India nazo zinasambaza.
.........XXX.........XXX.........XXX.........XXX......
Na uvamizi na wizi
Huu uzi ni wa muda mrefu kidogo kama ambavyo nimesema.Mbona Misri, Ethiopia, Sudan na Zimbabwe hutaji ukiachia mbali Mali kulikokuwa chuo kikuu maarufu kwenye mji wa Timbuktu?
Kwanini Germany?Hakuna kama Germany, vita ya kwanza na ya pili za dunia ndizo zilizowatoa kwenye reli.
Schlodinger, laplase, Eisteen nk
Umetaja nchi tu bila ya kutoa sababu zozote zile za kuitaja nchi husika.Sijaelewa mantiki ya swali lako,
Inavyoonesha jibu unalo na linafahamika,
Kumbuka nchi nyingi Zina michango hapa duniani,ila tofauti ni idadi ya michango,
Ukifanya utafiti ukawakusanya watoto wote wa darasa Fulani wa shule za misingi mfano wote wioshika nafasi ya kwanza katika mwaka Fulani ukawapa mtihani ni lazima atapatikana wa kwanza na WA mwisho.
Lkn haimaanishi wa mwisho ni kilaza.
Hivyo katika orodha ya hizo nchi ulizozitaja yupo atakaeonekana ana mchango mkubwa na mwingine mchango mdogo.
Kumbuka watu wote hatufansni mahitani.
Hatufanani changamoto.
Na hizi ndo chanzo Cha maendeleo.
Sasa najibu,Uingereza Ina mchango mkubwa kuliko wengene uliowataja.
Kwa hivyo CCM inatawala kwa sababu watu ni wajinga na wapumbavu?Ukiwa mjinga mjinga na mpumbafu lazima utawaliwe tu kama huko zenji. Na hamna cha kufanya.
Kwa hivyo CCM inatawala kwa sababu watu ni wajinga na wapumbavu?
Kwani Tanganyika inatawaliwa na nani?Upande wa zenji.