Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 10,142
- 12,188
- Thread starter
- #21
!Ulevi na kuwapanua wanawake mapaja
!Ulevi na kuwapanua wanawake mapaja
So hii tabia wewe hauna.Na hutaki warithiWanangu wafuate tu tabia zangu ila wakumbuke kujiheshimu,kuheshimu watu na kumpenda Mungu.
Mara 100 awe hivyo mwanao kuliko kutoonesha hizo chembe chembe za urijali hatimaye akafanywa yeye chakula cha Me wenzie.Ulevi na kuwapanua wanawake mapaja
Basi ataamini kuwa Makolo ndiyo timu bora Tanzania ila akili za washabiki kindakindaki za Wadanganyika ni maigizo matupu.Kuamini Yanga ni timu bora Tanzania. Aisee sitaki kabisa waamini kitu kama hicho.
Mkuu UmeuaKuamini Yanga ni timu bora Tanzania. Aisee sitaki kabisa waamini kitu kama hicho.
Mkuu mwenyewe una tabia gani mbaya ambazo hupendi mwanao aige?Ninaelewa kila binadamu hajaumbwa akakamilika.
Tunakuwa na tabia flani flani, za kuzaliwa nazo zingine ni za kuiga kutoka katika jamii inayotuzunguka.
Je wewe mwana jamvi, ni tabia zako gani ambazo kamwe haupendi zifanywe ama ziigwe na mwanao na ukimuona akifanya, unamfokea ama kumuadhibu ili asiendelee nazo?
Uzi tayari
Sijamanisha hivyo Mkuu,hiyo tabia ninayo.So hii tabia wewe hauna.Na hutaki warithi
Napenda sana wana....!Mkuu mwenyewe una tabia gani mbaya ambazo hupendi mwanao aige?
Hahahahahah umenifulaisha mzee hata mm naogopa kuwapa story zangMimi siwezi hata kuwasimulia wanangu habari zangu za utotoni naogopa wataiga.
Tombling tombling na nywajizi aka ulevi, ngada.Ninaelewa kila binadamu hajaumbwa akakamilika.
Tunakuwa na tabia flani flani, za kuzaliwa nazo zingine ni za kuiga kutoka katika jamii inayotuzunguka.
Je wewe mwana jamvi, ni tabia zako gani ambazo kamwe haupendi zifanywe ama ziigwe na mwanao na ukimuona akifanya, unamfokea ama kumuadhibu ili asiendelee nazo?
Uzi tayari
ulevi ni ushambaTombling tombling na nywajizi aka ulevi, ngada.
Kijiti? Hii kijiti ya JOYSTICK?Hata sijui natakaje, nitawaombea tu.
Ningewaombea akili manake ni kubwa sana na zipo vizuri lakini si nikaja kuziharibu na kijiti?
Sometimes zipo sometimes NO.
Katiba mpya Ni jibu la yote haya.