Ni Taarifa gani nzuri au kitu kizuri ulishawahi kuipata/kupata ukamshukuru Mungu/Mwenyezi Mungu?

financial services

JF-Expert Member
May 17, 2017
17,127
40,685
Hello wakuu,
Habari ya weekend, hivi ni taarifa gani nzuri ulishawahi kupata ukaishia kumshukuru Muumba, Mimi nakumbuka kwenye matokeo ya std 7 st Kayumba, nilichaguliwa kidato cha kwanza kwenda boarding school, na mtaani kwetu ilikua ukifaulia mbali kidogo au boarding unaonekana noma,sasa nakumbuka darasani kwetu niliwawakilisha kwenda hako kaboarding school, sijui hata ilikuaje maana sikua kipanga hivo ukilinganisha na wengine🙏 nauli from home to hiyo shule ilikua TZS 500 tu kwa daladala au unaweza kutembea kwa miguu tu😂😂 ila furaha yake si mchezo.

Baada ya kumaliza chuo, msoto kidogo mtaani(broke), huku nikipambana na interviews na kusambaza CVs, interviews zingine nyingi tu nilikua nafeli🤭 nakumbuka siku niliyopigiwa simu kwamba, umepata kazi uje kucheki mkataba, Aisee nilijiskia vizuri mno.

Ni mengi mazuri Muumba ametutendea, ila karibu ushare na sisi lolote utakalojisikia.
Happy week ending wote.
 
Yapo mengi yaliyonifurahisha lakini sijawahi kufurahia kama “Ijumaa moja tarehe 29 Mwezi wa 4 saa9 alasiri nilivyopokea simu kutoka kwa Mama yangu”..... MWANANGU JEBEL MKEO AMEJIFUNGUA SALAMA. Sikutaka hata kujua jinsia ya mtoto badala yake nilianza kurukaruka nikiwa kwenye daladala hadi abiria wakapendekeza nipelekwe Hospitali au kwa Mwamposa kuombewa.
 
😅😅

Mambo ni mengi ninayo ya kumshukuru Mungu FS.nitazidi kumshukuru kila wakati na sio kumshukuru tu Bali hata kumgusa moja kwa moja.

Ndugu zangu Mungu ni mwema kila wakati tusiache kumshukuru Kwa kila hatua
Amen🙏
 
Hello wakuu,
Habari ya weekend, hivi ni taarifa gani nzuri ulishawahi kupata ukaishia kumshukuru Muumba, Mimi nakumbuka kwenye matokeo ya std 7 st Kayumba, nilichaguliwa kidato cha kwanza kwenda boarding school, na mtaani kwetu ilikua ukifaulia mbali kidogo au boarding unaonekana noma,sasa nakumbuka darasani kwetu niliwawakilisha kwenda hako kaboarding school, sijui hata ilikuaje maana sikua kipanga hivo ukilinganisha na wengine nauli from home to hiyo shule ilikua TZS 500 tu kwa daladala au unaweza kutembea kwa miguu tu ila furaha yake si mchezo.

Baada ya kumaliza chuo, msoto kidogo mtaani(broke), huku nikipambana na interviews na kusambaza CVs, interviews zingine nyingi tu nilikua nafeli nakumbuka siku niliyopigiwa simu kwamba, umepata kazi uje kucheki mkataba, Aisee nilijiskia vizuri mno.

Ni mengi mazuri Muumba ametutendea, ila karibu ushare na sisi lolote utakalojisikia.
Happy week ending wote.
I guess ni Kayuki Girls..Au Ipinda

Mimi ninamshukuru Mungu kwa mengi, siwezi kuyataja nikamaliza.


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Yapo mengi yaliyonifurahisha lakini sijawahi kufurahia kama “Ijumaa moja tarehe 29 Mwezi wa 4 saa9 alasiri nilivyopokea simu kutoka kwa Mama yangu”..... MWANANGU JEBEL MKEO AMEJIFUNGUA SALAMA. Sikutaka hata kujua jinsia ya mtoto badala yake nilianza kurukaruka nikiwa kwenye daladala hadi abiria wakapendekeza nipelekwe Hospitali au kwa Mwamposa kuombewa.
Wow! Hongera sana mkuu. Hakika ni taarifa njema sana kuitwa baba wa mtu.

I can't wait siku nakua mama wa mtu aisee🙏
 
Mimi KAZI yangu ya kwanza badala ya kuwa na furaha nilijawa stress ilikuwa hivi :

Mwezi mmoja kabla ya kumaliza chuo nilifanya interview kwenye kampuni moja ya simu. Hadi namaliza chuo hawakuwahi kunitafuta.

Nilivyokuwa mtaani na harakati za kusambaza CV nikapata KAZI ya kujitolea kwenye NGO moja mikocheni Ila walikuwa wananipa pesa ndogo za kujikimu. Nilipiga pale kujitolea kama miezi 6. Baada ya hiyo miezi 6 nikapewa pre-contract kuwa nitaajiriwa rasmi baada ya miezi miwili ijayo huo mkataba haukuainisha mshahara utakuwa shilingi ngapi Ila nilikuwa najua mishahara ya pale. Mwanaume nikasaini nikaendelea Kula Hela zangu za nauli na kujikimu.

Baada ya wiki tatu toka nisaini ule mkataba WA awali WA kuajiriwa nikapigiwa simu na Ile kampuni ya simu kuwa nikaanze KAZI kesho yake haraka. Sitasahau Ile wiki nilikuwa na stress Sana tena Sana badala ya furaha.
 
Yapo mengi yaliyonifurahisha lakini sijawahi kufurahia kama “Ijumaa moja tarehe 29 Mwezi wa 4 saa9 alasiri nilivyopokea simu kutoka kwa Mama yangu”..... MWANANGU JEBEL MKEO AMEJIFUNGUA SALAMA. Sikutaka hata kujua jinsia ya mtoto badala yake nilianza kurukaruka nikiwa kwenye daladala hadi abiria wakapendekeza nipelekwe Hospitali au kwa Mwamposa kuombewa.
 
Mimi KAZI yangu ya kwanza badala ya kuwa na furaha nilijawa stress ilikuwa hivi :

Mwezi mmoja kabla ya kumaliza chuo nilifanya interview kwenye kampuni moja ya simu. Hadi namaliza chuo hawakuwahi kunitafuta.

Nilivyokuwa mtaani na harakati za kusambaza CV nikapata KAZI ya kujitolea kwenye NGO moja mikocheni Ila walikuwa wananipa pesa ndogo za kujikimu. Nilipiga pale kujitolea kama miezi 6. Baada ya hiyo miezi 6 nikapewa pre-contract kuwa nitaajiriwa rasmi baada ya miezi miwili ijayo huo mkataba haukuainisha mshahara utakuwa shilingi ngapi Ila nilikuwa najua mishahara ya pale. Mwanaume nikasaini nikaendelea Kula Hela zangu za nauli na kujikimu.

Baada ya wiki tatu toka nisaini ule mkataba WA awali WA kuajiriwa nikapigiwa simu na Ile kampuni ya simu kuwa nikaanze KAZI kesho yake haraka. Sitasahau Ile wiki nilikuwa na stress Sana tena Sana badala ya furaha.
Ukawa unashindwa uamue lipi uende kwenye coy ya simu ama ubaki hapo amabapo hujui utalipwaje, Aisee at last ukaamuaje mkuu?
 
Back
Top Bottom