Jibu: I tend to overwork myself.What are your weaknesses? Mm ili swali natetemaga kama mwizi kanipiga ngeta
'You can do anything but not everything'
Serikalini kuna interview kwenye kada nyingine...sio kila ajira inakuja automatically....Tulioajiriwa serikalini bila interview tuendelee kusoma comments,nmesha_comment on behalf
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks mkuu, pamoja sana
Hahaha, wanakukataza usi-explain? Yani wanasahau kuwa mention inabidi utoe na maelezo mafupi, bora waseme list.Ila interview za utumishi mdebwedo unaambiwa mention 5 points ukitaka kuexplain unaambiwa mention only
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilivurugika na kuishia hapo kivipi mkuu? Inamaana ulijibu vzur au vibaya?Hata mm niliulizwa swali Kama hili kwenye interview Tanesco.
What is your weakness?
Answer:I become uncomfortable when the work is done below my standard.
Baada ya hapo interviewers wote walibaki hoi kwa vicheko na kuvunja mbavu.
Na interview ikavurugika ikawa mwisho hr akaniruhusu niondoke.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilijibu vizur ila kisiasa zaidi ndio maana ikawachekesha.
Walikupa hiyo amount?Interview ya kampuni niliopo Sasa, hr alilazimisha nitaje figure. Nikataja figure zangu, akaniuliza Ulipotoka unalipwaje, nikamjibu. Likabwatuka sa huko unalipwa kidogo hivyo Nani atakupa hizi unazotaja?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa wanakera sanaaa, kuna siku nilienda interview moja. Nikamvuta jamaa chemba nikamuuliza, akanijibu we taja tuu amount inayokutosha. Matusi niliyompa moyoni, Mungu amenisameheMimi niliwahi kumuuliza mtu ninayefahamiana nae pale nnapotarajia kufanya interview aligoma kunitajia, sijui alifikiria nini aisee aliniudhii
Sent using Jamii Forums mobile app
Wew ni mbufiWaliniuliza miaka mitano ijayo utakuwa wapi/ Nikawambia mimi siyo nabii!! wakacheka sana kisha mmojawao akatoa ufafanuzi akifikiri sikuelewa
Tatizo kuitwa kazini Kwa Hao Jamaa.Ila interview za utumishi mdebwedo unaambiwa mention 5 points ukitaka kuexplain unaambiwa mention only
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukajibu vipi Mkuu? Au ulileta habari za scale zao?Pesa uliotaja ndio uliolipwa?Nakumbuka ilikuwa ni hospital ya missionary...
Baada ya kuingia chumba cha interview... Swali la kwanza kuulizwa Lilikuwa ni hili, endapo tutakuajiri katika hospital yetu , Tukulipe kiasi gani ?
Kuna interviewer wengine wanauliza.
What are your hobbies?
Wengi wenu mnasemaga FOOTBALL
watauliza. What is your favourite team.
Hapa usije ukajichanganya kutaja club za ulaya maana watakukamata uongo.
Wewe waambie ni mpenzi wa Muungano sports club ya Hedaru.
Hapa utawafunga mdomo maana hedaru shooting au muungano sports za Hedaru hawazijui