Ni suala la muda tu. Hili la Davis Mosha litaondoka na mtu

Hahahaaa wachaga tunawajua sio mchaga huyo mshamba wa kupambana na serikali ndio uchaga huo?? Hahahaa tukutane mahakamani
Wale Uhamiaji hawakutumwa na Serikali na si kila Mtumishi wa serikali akifanya unyama au ujinga huwa ametumwa na Serikali wengine hujichukulia sheria mikononi kienyeji kwa kivuli cha Serikali, Devis mosha hapambani na Serikali wala nini usipotoshe umma bali amejihami dhidi ya Uhamiaji wachache waliokwenda kumharibia biashara, kumfukuzia wateja kwenye nyumba zake, huko mahakamani umetabiri hukumu? Kaa ukitambua kuwa watanzania wameamka wanajua mtu anayejitetea na yule anayepambana pia.
 
Kwani sheria inasema ukiwadhalilisha maafisa wa uhamiaji hustahili kupata dhamana?!
Sheria ilipaswa kufuatwa pande zote kwani hao Uhamiaji waligoma kutoa vitambulisho pia hawakuwa na Mwenyekiti wa Serikali za mitaa na tatu walirecord video na kuzisambaza kwenye Mitandao, huo ni mfumo wa Utendaji kazi wa maafisa wa Uhamiaji?
 
Huyu mosha alitakiwa kuoshwa kwanza na mahabusu wenzie na kuachiwa kwake kwa dhamana ingawa ni haki ila katika hili ni kuendelea kuwadhalilisha wale waliotendewa kadhia hiyo wakiwa katika utekelezaji wa majukumu yao..fikiria yule aliekunjwa na kuambiwa atachapwa vibao je familia yake inamtazamaje?? Watoto wake wanamtazamaje wanapojua kumbe baba anaweza kuchapwa vibao na tajiri mmoja asiekua na adabu je huku si kuwavunja nguvu watumishi hawa?? Mimi hapa naona jela ya jamaa inavyozidi kufanya kazi, naona walio na mamlaka ya kushughulikia hili wanavyotumia sheria vibaya kumlinda aliesema ataichapa vibao serikali. Kuidharau serikali ina maana umemdharau mpaka Rais wa jamhuri anaeiongoza kua serikali yake unaweza kuichapa vibao kwa pesa zako. Wenye mamlaka na kesi hii tumieni vizuri sheria kunyoosha watu wenye kiburi cha pesa kama daviiiiiiss moossssha...wanaozarau mamlaka ya vyombo vya ulinzi na usalama vilivyowekwa kikatiba. Lakini pia serikali ijiridhishe na mtu huyu alipataje utajiri huu tangu alipoanza maisha na vyanzo vyake vya pesa vijulikane vilijizaa vip mpaka kufikia hapo alipo leo ili pia tuone dharau hizi za kuikunja shati serikali zimeanzia wapi. Tunaomba haki ionekane katika hili.
Haki itapatikana mahakamani, si hata zimeanza kuchukuliwa?
 
Huyu mosha alitakiwa kuoshwa kwanza na mahabusu wenzie na kuachiwa kwake kwa dhamana ingawa ni haki ila katika hili ni kuendelea kuwadhalilisha wale waliotendewa kadhia hiyo wakiwa katika utekelezaji wa majukumu yao..fikiria yule aliekunjwa na kuambiwa atachapwa vibao je familia yake inamtazamaje?? Watoto wake wanamtazamaje wanapojua kumbe baba anaweza kuchapwa vibao na tajiri mmoja asiekua na adabu je huku si kuwavunja nguvu watumishi hawa?? Mimi hapa naona jela ya jamaa inavyozidi kufanya kazi, naona walio na mamlaka ya kushughulikia hili wanavyotumia sheria vibaya kumlinda aliesema ataichapa vibao serikali. Kuidharau serikali ina maana umemdharau mpaka Rais wa jamhuri anaeiongoza kua serikali yake unaweza kuichapa vibao kwa pesa zako. Wenye mamlaka na kesi hii tumieni vizuri sheria kunyoosha watu wenye kiburi cha pesa kama daviiiiiiss moossssha...wanaozarau mamlaka ya vyombo vya ulinzi na usalama vilivyowekwa kikatiba. Lakini pia serikali ijiridhishe na mtu huyu alipataje utajiri huu tangu alipoanza maisha na vyanzo vyake vya pesa vijulikane vilijizaa vip mpaka kufikia hapo alipo leo ili pia tuone dharau hizi za kuikunja shati serikali zimeanzia wapi. Tunaomba haki ionekane katika hili.

Ingekua vyema sana kama tungechangia mambo kama haya bila kutumia lugha za kuhukumu. Kuwa tajiri si kinyume cha sheria mkuu. Hapa unaonekana wazi kuwa na hasira na matajiri. Ugomvi kama huo unaweza kutokea bila mtu kuwa tajiri, mwanasiasa, Sheikh au Padre. Muhimu ni kuviachia vyombo husika vichambue professionally na kutoa maamuzi au usuluhishi sahihi.
 
Ingekua vyema sana kama tungechangia mambo kama haya bila kutumia lugha za kuhukumu. Kuwa tajiri si kinyume cha sheria mkuu. Hapa unaonekana wazi kuwa na hasira na matajiri. Ugomvi kama huo unaweza kutokea bila mtu kuwa tajiri, mwanasiasa, Sheikh au Padre. Muhimu ni kuviachia vyombo husika vichambue professionally na kutoa maamuzi au usuluhishi sahihi.
Tukutane mahakamani haki ikatendeke..
 
Huyu mosha alitakiwa kuoshwa kwanza na mahabusu wenzie na kuachiwa kwake kwa dhamana ingawa ni haki ila katika hili ni kuendelea kuwadhalilisha wale waliotendewa kadhia hiyo wakiwa katika utekelezaji wa majukumu yao..fikiria yule aliekunjwa na kuambiwa atachapwa vibao je familia yake inamtazamaje?? Watoto wake wanamtazamaje wanapojua kumbe baba anaweza kuchapwa vibao na tajiri mmoja asiekua na adabu je huku si kuwavunja nguvu watumishi hawa?? Mimi hapa naona jela ya jamaa inavyozidi kufanya kazi, naona walio na mamlaka ya kushughulikia hili wanavyotumia sheria vibaya kumlinda aliesema ataichapa vibao serikali. Kuidharau serikali ina maana umemdharau mpaka Rais wa jamhuri anaeiongoza kua serikali yake unaweza kuichapa vibao kwa pesa zako. Wenye mamlaka na kesi hii tumieni vizuri sheria kunyoosha watu wenye kiburi cha pesa kama daviiiiiiss moossssha...wanaozarau mamlaka ya vyombo vya ulinzi na usalama vilivyowekwa kikatiba. Lakini pia serikali ijiridhishe na mtu huyu alipataje utajiri huu tangu alipoanza maisha na vyanzo vyake vya pesa vijulikane vilijizaa vip mpaka kufikia hapo alipo leo ili pia tuone dharau hizi za kuikunja shati serikali zimeanzia wapi. Tunaomba haki ionekane katika hili.

Sasa kama Mahakama imeona hivyo jamuhuri bado wana nafasi ya kupeleka hati ya dharura kupinga dhamana

Lakini pia tusiangaliee upande mmoja upande wa pili kuna bugudha wanazopewa wafanyabiashara hasa na vyombo vya dola kama uhamiaji ili tu watoe rushwa kwa hiyo pia uchunguZi ufanywe maana sio kichaaa yule ,kwanini wamegombaana ? Maana kuna Tabia Polisi au uhamiaji wakijua mahali pa kwenda kuchukua pesa inakua kero Sasa siku ukikuta mtu kaamka vibaya inakua kama hivyo
Hivyo ni muhimu na wale walioenda pale ukweli ujulikane
 
Hata ningekua mimi nisingefurahia hivi kweli raia anamkunja shati afisa wa Serikali kwa dharau vile...daadek ningemkaanga tu awe na adabu
 
Kumbuka kuna sheria na taratibu zake.

Una uhakika gani kama walifuata sheria na taratibu kwenda kwake. Hata kama ni askari huwezi kuja nyumbani kwangu au ofisini na kunikagua bila kufuata sheria ............!!
Umepata taarifa wapi kwamba hawakufuata taratibu na sheria
 
Huyu mosha alitakiwa kuoshwa kwanza na mahabusu wenzie na kuachiwa kwake kwa dhamana ingawa ni haki ila katika hili ni kuendelea kuwadhalilisha wale waliotendewa kadhia hiyo wakiwa katika utekelezaji wa majukumu yao..fikiria yule aliekunjwa na kuambiwa atachapwa vibao je familia yake inamtazamaje?? Watoto wake wanamtazamaje wanapojua kumbe baba anaweza kuchapwa vibao na tajiri mmoja asiekua na adabu je huku si kuwavunja nguvu watumishi hawa?? Mimi hapa naona jela ya jamaa inavyozidi kufanya kazi, naona walio na mamlaka ya kushughulikia hili wanavyotumia sheria vibaya kumlinda aliesema ataichapa vibao serikali. Kuidharau serikali ina maana umemdharau mpaka Rais wa jamhuri anaeiongoza kua serikali yake unaweza kuichapa vibao kwa pesa zako. Wenye mamlaka na kesi hii tumieni vizuri sheria kunyoosha watu wenye kiburi cha pesa kama daviiiiiiss moossssha...wanaozarau mamlaka ya vyombo vya ulinzi na usalama vilivyowekwa kikatiba. Lakini pia serikali ijiridhishe na mtu huyu alipataje utajiri huu tangu alipoanza maisha na vyanzo vyake vya pesa vijulikane vilijizaa vip mpaka kufikia hapo alipo leo ili pia tuone dharau hizi za kuikunja shati serikali zimeanzia wapi. Tunaomba haki ionekane katika hili.
Kwani USISHAURI WACHUNGUZWE MASIKINI WOTE KWANI NI MASKINI? Utajiri ni gharama kwanini utajiri cku zote mnapenda kuuchunguza
 
Huyu mosha alitakiwa kuoshwa kwanza na mahabusu wenzie na kuachiwa kwake kwa dhamana ingawa ni haki ila katika hili ni kuendelea kuwadhalilisha wale waliotendewa kadhia hiyo wakiwa katika utekelezaji wa majukumu yao..fikiria yule aliekunjwa na kuambiwa atachapwa vibao je familia yake inamtazamaje?? Watoto wake wanamtazamaje wanapojua kumbe baba anaweza kuchapwa vibao na tajiri mmoja asiekua na adabu je huku si kuwavunja nguvu watumishi hawa?? Mimi hapa naona jela ya jamaa inavyozidi kufanya kazi, naona walio na mamlaka ya kushughulikia hili wanavyotumia sheria vibaya kumlinda aliesema ataichapa vibao serikali. Kuidharau serikali ina maana umemdharau mpaka Rais wa jamhuri anaeiongoza kua serikali yake unaweza kuichapa vibao kwa pesa zako. Wenye mamlaka na kesi hii tumieni vizuri sheria kunyoosha watu wenye kiburi cha pesa kama daviiiiiiss moossssha...wanaozarau mamlaka ya vyombo vya ulinzi na usalama vilivyowekwa kikatiba. Lakini pia serikali ijiridhishe na mtu huyu alipataje utajiri huu tangu alipoanza maisha na vyanzo vyake vya pesa vijulikane vilijizaa vip mpaka kufikia hapo alipo leo ili pia tuone dharau hizi za kuikunja shati serikali zimeanzia wapi. Tunaomba haki ionekane katika hili.
mawazo ya kimasikini... Dhamana ni haki ya kila mtu...
 
Watoto bwaaaana! Sasa mnagombana nini humu? Wa tz tuna tatzo moja kubwa sana, Kutotaka kujifunza kutokubaliana. Yan mtu akipingwa anapanic na defence yake n matusi, Mtu mzima unategemea matusi ili ushnde, hapo unakuta kapanic mpk vidole vinapishana kwenye keyboard kutukana avatar. Hopeless
 
Tukutane mahakamani haki ikatendeke..
Senior Citizens tunashauri kuwa na subira na kufuata taratibu bila kuandika hasira ndani ya mtandao. Hata kama ni wewe ulishikwa shati ni nizuri ukarudi hatua moja nyuma ukajiuliza ni nini ulifanya kikamsababisha mtu mzima kufanya kitendo cha shule ya sekondari. Ushindi wa busara ni mzito kuliko wa makelele.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom