Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,496
- 26,991
chukueni HATUA
Tutampiga chini asubuhi mapema tu.
chukueni HATUA
Mwanamke ana shida gani?ndani ya miezi 6 tu CCM imekua na u-mama mwingi mnoo
Tokeapo hiki ni chama cha wanawake, ndio maana umoja wa wanawake una nguvu kuliko ule wa vijana.Toka kitambo mbona ccm ni ya kina kula kulala na wazee.Mchakarikaji,na mtu smart Katu hawezi kuwa ccm labda tu kama ni mnufaika
anaamini anastahili kupigiwa kura sasababu ya jinsia yake ya kike.Mwanamke ana shida gani?
Kwa sababu za ki historia, tuli wadharau sana mpaka kwenye vitabu vya dini, ila kama ana uwezo wa kuongoza basi sawa tu. Sisi wengine tutafanya kazi ngumuanaamini anastahili kupigiwa kura sasababu ya jinsia yake ya kike.
AalaaahHabari zenu wakuu?
Kwa kauli za Rais Samia jana sikuzifurahia kabisa, kwani ni za kibaguzi.
Hazina tofaugi na kauli za kidini kama ile aliyoitoa Lowassa akiwa KKT Tabora 2015.
Katiba yetu ya JMT ibara ya 13(2), (4)(5)(6) na ibara ndogo (a) mpaka (e).
zinakataza mamlaka yoyote kuweka ubaguzi dhahiri au kwa taathira yake.
Chini ya sheria Na.4 ya 1992 ib.8 zikisomwa kwa pamoja na sheria Na.3 ib.3 ya 2000.
Sasa kwanini Katiba inavunjwa?
Nashaurinwashauri wa mama wampe maneno ya kusema.
Kuna watu hata ndani ya chama cha mapinduzi wanausaka Urais naona kawanyooshaView attachment 1940069View attachment 1940070
kama ana uwezo afanye kazi watu waone, asilete story za kuomba apewe kura kwasababu ya jinsia yake ya kike.Kwa sababu za ki historia, tuli wadharau sana mpaka kwenye vitabu vya dini, ila kama ana uwezo wa kuongoza basi sawa tu. Sisi wengine tutafanya kazi ngumu
Wengi walishaamka kwenye hiyo ndoto, umebaki wewe Crimea na jitombashishoHuyu Mwamba sijui alikufaje watanzania ni kama tuko ndotoni. Itafikia siku kila ulimi utakiri tulipoteza kiongozi wa kweli na shujaa wa taifa.View attachment 1940403
Chama limekaa ki shogashoga.huu ni ukweli usio pingika
Makasesera= MakalioHalafu myanaume ya CCM bana sijui ikoje au ni sio ridhiki. Mwanamke anatamba kabisa eti uchaguzi ujao wanaume hawana Chao huko CCM halafu yenyewe yanang'aza sharubu tuu yamefyata makasesera yao Kama mazuzu
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Habari zenu wakuu?
Kwa kauli za Rais Samia jana sikuzifurahia kabisa, kwani ni za kibaguzi.
Hazina tofaugi na kauli za kidini kama ile aliyoitoa Lowassa akiwa KKT Tabora 2015.
Katiba yetu ya JMT ibara ya 13(2), (4)(5)(6) na ibara ndogo (a) mpaka (e).
zinakataza mamlaka yoyote kuweka ubaguzi dhahiri au kwa taathira yake.
Chini ya sheria Na.4 ya 1992 ib.8 zikisomwa kwa pamoja na sheria Na.3 ib.3 ya 2000.
Sasa kwanini Katiba inavunjwa?
Nashaurinwashauri wa mama wampe maneno ya kusema.
Kuna watu hata ndani ya chama cha mapinduzi wanausaka Urais naona kawanyooshaView attachment 1940069View attachment 1940070
kwani kuna ubaya mwanamke akiwa Rais?
Si ni rais? Tukuulize wewe, Hivi ni vibaya Baba yako akiwa Mama nyumbani na Mama akawa Baba?
Wanawake wengi wasio wasomi hawampendi, na wale wasomi ndio zaidi hawampendi. Kifupi wanawake wenzake wamemkataa! Atachomokaje hapo? Fanya research ndogo utajua kuwa She is rejected!Wanawake wengi lazima ashinde
Hajachaguliwa na WaTZ, hatutaki kuchagua viongozi wa kike!nonsense!