Ni suala la mda tu,Rostam Aziz anaenda kuwa Tajiri namba moja Tanzania.

alexelias

JF-Expert Member
Sep 1, 2017
2,032
3,198
Jabari la mipango na fitina hatmaye leo limeonekana tena ndani ya mwewe KIJANI!

Katika Siasa za Tanzania huwezi kumkwepa RA na ukabaki salama!RA ni zee la MIPANGO na FITINA.Zaidi ni JABARI la MITANDAO YOTE YA KHERI na VINGINEVYO unavyoweza kutabanaisha wewe.UNAMKWEPAJE MTU WA AINA HIYO?!

Rasmi,Mhe Rais kalirejesha JABARI HILO NYUMBANI.Hakuwa na NAMNA!Hiyo ni kwa faida yake yeye mwenyewe na Chama chake.

Niseme tu sasa rasmi RA anaenda kuwa mfanyabiashara mkubwa sana sana tena zaidi ya sana hapa Tz.Atapewa fursa kama zote kwa SHARTI MOJA TU-ALIPE KODI!

HONGERA JPM KWA HESABU KALI!
 
Rostam Aziz Mtumishi mtiifu wa CIA

Naona alipotea kiasi nchini na kwenda kuungana na wenzie kumuweka Munangagwa Zimbabwe....

Kumrudisha uhuru kenyatta kenya....

Na kumuondoa Zuma South Africa

Sasa karudi tena kwenye siasa za Tanzania.........

Magufuli nazani sasa ameanza kuelewa nguvu ya Mabeberu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Dhana.
 
Back
Top Bottom