ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
NDOA INA SIRI KUBWA
KWA WALE WALIO KATIKA NDOA WANAWEZA KUSHUHUDIA HAYA:
Kama umegombana na una hasira kali dhidi ya mwenzio, mara zote inapofikia kwenye hitaji la "ndoa", hasira huwa zinachukua likizo ya muda na pengine kupelekea hitima ya ugomvi....mpaka leo bado sifahamu siri iliyomo kwenye maisha ya ndoa.
Na pengine hata mkigombana ugimvi mkubwa, mkapishana , wewe sebuleni yeye chumbani, au yeye kwenye meza ya kujipodolea (dressing table) na wewe bafuni, lakini inapofikia kwenye suala la mwenzio anahitaji msaada wako, roho yako inaweza kukuuma sana na kujisikia kumsaidia japo pengine hata ukiwa hujisikii hata kumsemesha.. utafanya tu na kuona kabisa mwenzio hapaswi kuumiza,
.....Unawaza mwenzio anapokuwa mbali nawe, labda atakuwa ana fanya jambo fulani ambalo wewe hungependa afanye, lakini hata kama hakufanya jambo hilo, akiwa karibu nawe unajaribu kudadisi, na pengine kwa hisia unaweza kujaribu upate nafasi hata ujue kwenye simu yake ya kijanjani nani aliyempigia au kumtumia ujumbe wa maandishi (SMS)...
'....Hata kama mlikuwa katika makubalinao ya kutogusa simu ya mwenzio, ghafla unapoisikia ikitoa mlio wa kuita au ikiwa pahala, moyo unakusukuma kujua ni nani anamtafuta, na unaweza kuichukua tu kwa kificho ili ujue mawasiliano yake na mtu ambae unahisi anaweza kuwa ana husina nae kama wewe (..) na ukiona ujumbe usiouelewa, utauliza kwa kalui ya kuonyesha makubalinao ya kutogusa simu ya mwenzio hayana maana..ukidai unamlinda ..pengine chokochoko na hisia zinaweza kupelekea ugomvi (ukiwa na maana ya wivu juu ya mwenzio) hili linaweza kusababisha mpaka mahusiano kuvunjika. Lakini ukichiunguza kisa, unabaini kuwa ilikuwa ni kujaribu kuhakikisha mnadumisha mahusiano ila athari ya staili iliyotumika ikapelekea mahusiano hayo kuvunjika bila wenyewe kufahamu.
KWA WALE WALIO KATIKA NDOA WANAWEZA KUSHUHUDIA HAYA:
Kama umegombana na una hasira kali dhidi ya mwenzio, mara zote inapofikia kwenye hitaji la "ndoa", hasira huwa zinachukua likizo ya muda na pengine kupelekea hitima ya ugomvi....mpaka leo bado sifahamu siri iliyomo kwenye maisha ya ndoa.
Na pengine hata mkigombana ugimvi mkubwa, mkapishana , wewe sebuleni yeye chumbani, au yeye kwenye meza ya kujipodolea (dressing table) na wewe bafuni, lakini inapofikia kwenye suala la mwenzio anahitaji msaada wako, roho yako inaweza kukuuma sana na kujisikia kumsaidia japo pengine hata ukiwa hujisikii hata kumsemesha.. utafanya tu na kuona kabisa mwenzio hapaswi kuumiza,
.....Unawaza mwenzio anapokuwa mbali nawe, labda atakuwa ana fanya jambo fulani ambalo wewe hungependa afanye, lakini hata kama hakufanya jambo hilo, akiwa karibu nawe unajaribu kudadisi, na pengine kwa hisia unaweza kujaribu upate nafasi hata ujue kwenye simu yake ya kijanjani nani aliyempigia au kumtumia ujumbe wa maandishi (SMS)...
'....Hata kama mlikuwa katika makubalinao ya kutogusa simu ya mwenzio, ghafla unapoisikia ikitoa mlio wa kuita au ikiwa pahala, moyo unakusukuma kujua ni nani anamtafuta, na unaweza kuichukua tu kwa kificho ili ujue mawasiliano yake na mtu ambae unahisi anaweza kuwa ana husina nae kama wewe (..) na ukiona ujumbe usiouelewa, utauliza kwa kalui ya kuonyesha makubalinao ya kutogusa simu ya mwenzio hayana maana..ukidai unamlinda ..pengine chokochoko na hisia zinaweza kupelekea ugomvi (ukiwa na maana ya wivu juu ya mwenzio) hili linaweza kusababisha mpaka mahusiano kuvunjika. Lakini ukichiunguza kisa, unabaini kuwa ilikuwa ni kujaribu kuhakikisha mnadumisha mahusiano ila athari ya staili iliyotumika ikapelekea mahusiano hayo kuvunjika bila wenyewe kufahamu.