Ni simulizi gani Ilikukuna vizuri hapa JF 2016?

MLALUKO JR

JF-Expert Member
May 3, 2015
962
305
Habarini Jf members,

Napenda tushee ideas kuhusu simulizi hapa jukwaani kwa mwaka huu unaoisha.

Kwa upande wangu simulizi zilizonisisimua zaidi ni:
1:Mke wa Rais
2:peniela(story ya kijasusi)
3:Nililala na maiti nitajirike.

Kwangu story ya "Mke Wa Rais" imekuwa story ya Funga mwaka chini ya mtunzi Ibra87.
Je,story gani iligusa hisia zako kindakindaki kwa mwaka unaoisha???

Cc Shunie
Sohwa.
Ibra87
Nemesis
 
Habarini Jf members,

Napenda tushee ideas kuhusu simulizi hapa jukwaani kwa mwaka huu unaoisha.

Kwa upande wangu simulizi zilizonisisimua zaidi ni:
1:Mke wa Rais
2:peniela(story ya kijasusi)
3:Nililala na maiti nitajirike.

Kwangu story ya "Mke Wa Rais" imekuwa story ya Funga mwaka chini ya mtunzi Ibra87.
Je,story gani iligusa hisia zako kindakindaki kwa mwaka unaoisha???

Cc Shunie
Sohwa.
Ibra87
Nemesis
Kwanini usiweke na link za nyuzi hizo mkuu?
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom