Ni siku njema kwa mh. Mbowe na mke wa Riz1

President Elect

JF-Expert Member
Aug 9, 2011
693
212
Leo ni siku njema sana kwa Riz1, mke wake kipenzi anasherehekea my Happy Birthday yake!

Mh. Aikaeli Mbowe, mwenyekiti wa CHADEMA, naye pia anasherehekea siku yake ya kuzaliwa.

Happy birthday to you, Mh. Mbowe & Mrs. Ridhiwani Jakaya Kikwete! Makofi na vigelegele tafadhali.
 
Leo ni siku njema sana kwa Riz1, mke wake kipenzi anasherehekea my Happy Birthday yake!

Mh. Aikaeli Mbowe, mwenyekiti wa CHADEMA, naye pia anasherehekea siku yake ya kuzaliwa.

Happy birthday to you, Mh. Mbowe & Mrs. Ridhiwani Jakaya Kikwete! Makofi na vigelegele tafadhali.

Najutia muda wangu niliopoteza kusoma thread hii....
 
habari nzima haitu huuuuuuuuuuuuuuu.....................hbu peleka global publishers huu upupu wako
 
mmmh napta ntarudi mda kidogo tuparty

AITHEE.. HIYO AVATAR YAKO MKUU MSOFFE.. DO IMETULIA.. UNGEIPOST TUKAIMENGENYUA HUMU LINGEKUWA LA MBOLEA... labda Mkubwa nikuulize swali.. unadhani TZ ikipigwa bei dau litakuwa sh ngapi, na kila mkazi atamegewa kiasi gani.. eeh jamani.. tujadilini, kwani kujadili ndoto kuna ubaya gani! NDOTO YAWEZA KUWA TRUE watu wakajaa mifukoni wakatimkia wanakojua.. kuliko kujadili threads za mawengemawenge.. besidei za watu... shit!!
 
Leo ni siku njema sana kwa Riz1, mke wake kipenzi anasherehekea my Happy Birthday yake!<br />
<br />
Mh. Aikaeli Mbowe, mwenyekiti wa CHADEMA, naye pia anasherehekea siku yake ya kuzaliwa.<br />
<br />
Happy birthday to you, Mh. Mbowe &amp; Mrs. Ridhiwani Jakaya Kikwete! Makofi na vigelegele tafadhali.
<br />
<br />

President elect, don't contrast my Party's Chairman with your Ritz1 wife, she's officially married anyway but Ritz1 has got his zip down most of the time.
 
President elect, don't contrast my Party's Chairman with your Ritz1 wife, she's officially married anyway but Ritz1 has got his zip down most of the time.
by the way so does your chairman if you know what goes on in town.
 
AITHEE.. HIYO AVATAR YAKO MKUU MSOFFE.. DO IMETULIA.. UNGEIPOST TUKAIMENGENYUA HUMU LINGEKUWA LA MBOLEA... labda Mkubwa nikuulize swali.. unadhani TZ ikipigwa bei dau litakuwa sh ngapi, na kila mkazi atamegewa kiasi gani.. eeh jamani.. tujadilini, kwani kujadili ndoto kuna ubaya gani! NDOTO YAWEZA KUWA TRUE watu wakajaa mifukoni wakatimkia wanakojua.. kuliko kujadili threads za mawengemawenge.. besidei za watu... shit!!
Mbona Tanzania tayari inamegwa na kupigwa bei kila uchao, tena kwa bei ya chee!
 
Kimsingi, umefanya kosa kubwa kuchanganya hawa watu pa1. Ingawa wana share birth day, hawafanani socially, economicaly, politically, idologicaly, dignity and the list goes on! Totaly different persons!
 
Back
Top Bottom