Ni siku 21 leo, endelea kulala salama kipenzi chetu Rais John Pombe Joseph Magufuli

mama D

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
19,763
35,200
Tunaendelea kumshukuru Mungu kwaajili ya zawadi ya uhai wako John Pombe Joseph kwa taifa letu.

Tunashukuru kwa kutuachia serikali makini na imara chini ya aliyekua msaidizi wako na rais wetu kipenzi Mama yetu Samia Suluhu Hassan.

Kama alivyokuahidi ukiwa hai kwamba upumzike maana yeye alishakuelewa na kunyooka na anaweza kunyoosha wengine, anatunyoosha kwelikweli. Moto wa kutumbua majipu bado mama anauendeleza kwa kazi kubwa sana.

FB_IMG_1617689898169.jpg

Endelea kupumzika kwa amani Mwamba, mbeba maono, mwenye uthubutu, Mtekelezaji na Mzalendo.

Raha ya milele umpe ee Bwana, na mwanga wa milele umuangazie, apumzike kwa amani Amina💔🕊🙏

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote 😍🇹🇿🔥🔥
 
Nikiondoka Mimi hizi ndege zitanunuliwa?

Je, nikiondoka Mimi hizi flyover zitajengwa?

Nikiondoka Mimi,hizi barabara zitajengwa?Mbona hapo kabla mambo haya yalikuwa hayafanyiki?

Leo, hayupo Tena lakini mbona Tanzania ipo na itazid kuwepo?

Dunia tunapita, nothing is permanent even the world itself.

Mungu,kaingilia Kati.
 
Kwani Mkuu CCM walikufanya nini kibaya!??
Nikiondoka Mimi hizi ndege zitanunuliwa?

Je,nikiondoka Mimi hizi flyover zitajengwa?

Nikiondoka Mimi,hizi barabara zitajengwa?Mbona hapo kabla mambo haya yalikuwa hayafanyiki??

Leo,hayupo Tena lakin mbona Tanzania ipo na itazid kuwepo?

Dunia tunapita,nothing is permanent even the world itself...

Mungu,kaingilia Kati.
 
Natafuta Mbuzi aliyenona ili nimchinje kusudi niendelee Kulia Kimoyomoyo japo najua tu kwa Utamu wa Nyama utakuwa unanifanya niwe natabasamu nyakati zingine.
 
Back
Top Bottom