Habari za Jumapili.
Msaada jamani.
Natafuta shule ya O Level ambayo ni football academy.
Naomba mnitajie majina.
Asante.
Fountan gate dodomaHabari za Jumapili.
Msaada jamani.
Natafuta shule ya O Level ambayo ni football academy.
Naomba mnitajie majina.
Asante.
Arusha au Manyara ?Kuna skuli moja hivi iko Arusha sijui wilaya gani kule. It is perfect na ina top notch facilities za mpira wa miguu
Black RhinoHabari za Jumapili.
Msaada jamani.
Natafuta shule ya O Level ambayo ni football academy.
Naomba mnitajie majina.
Asante.
hapana mimi nasemea Singe ni shule ya mafaza wa kikatoliki pale mpira ndo ulipozaliwa na michezo mingineNadhani inaitwa Singland Secondary School