Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, kama unataka shirika la uhakika tumia DHL lakini bei zinatisha.Kuna mtu anataka anitumie laptop kutoka marekani
Najua kuna mashirika yenye dhamana ya parcel zinazotumwa kutoka nje kuja Tanzania
Je ni shirika lipi liko salama zaidi?
Msaada tafadhali.
Mkuu, kama unataka shirika la uhakika tumia DHL lakini bei zinatisha.
Mimi huwa natumia posta bei rahisi na sijawahi kupoteza, mfano kusafirisha laptop kwa posta ni dola 105 tu ndani ya siku 7 umepokea.
Dhl si chini ya dola 160
Ni pmJe, hiyo laptop naweza kutumia posta ya moshi kilimanjaro maana ndio ninakoishi
Nahofia usafirishaji kutoka dsm mpaka moshi kwa njia ya posta haitasumbua
Msaada wako mkuu